This is a criminal case, wafungue jalada la kesi ya jinai halafu ndipo mengine yafanyike kuliko kuendelea kutafuta political milleage ambayo haiwasaidii wafiwa kupata haki jinai pamoja na stahiki zote.
Bilionea chawa haijawahi kutokea. Alipe pesa ya watu kwanza ndio wakae wajadili mkataba mpya aache janjajanja. Mtu alipata chance nzuro akaishia kujiweka kwa media kama baba levo. Minyii
Kijana wa boda amefariki lakini naameacha wapendwa wake wanasikitika.
Basi limechomwa kama kisasi lakini kijana hajafufuka. Basi limeteketea p0na tajiri ataclaim bima
Pata wa ila maisha ya kijana hayatarudi na hakuna bima itakayolipa hasara ya maisha yake wapendwa wake.
Abiria mizigo yao...
Waajiri wamekuwa wabinafsi sana, ni kweli vijana wanamaliza vyuoni wakiwa na distinction kwenye vyeti ila vichwani hawana ubunifu lakini ni mwajiri gani ametumia muda kumoatia induction course hata ya wiki mbili mwajiriwa mpya? Policy zao zinatoa hiyo nafasi?
Wakati mwingine ndio maana vijana...
Wanauchelewesha mradi kwa makusudi ili wautumie kama silaha ya uchaguzi. Washeni umeme watanzania tutawapima kwa vingine vingi ambavyo mmekuwa mnachelewesha kwa makusudi kqma mtaji wa kisiasa badala ya kuwapa wananchi hudumu wanayolipia kwa kodi zao.
Waongeze mzigo plus kupunguza vituo ili kupunguza muda wa kukaa barabarani pamoja na umeme unaotumika kuanzisha mwendo ambao huliwa zaidi.
Nadhani engineers plus wachumi wa biashara ya treni watakaa kuangalia best alternative way ya kupunguza gharama kwa abiria by substituting to the cargo na...
Na wewe mgeuze mcheps wako tu wala asijue. Tafuta demu mwingine unakuwa nae serious huyu unamuweka pending unajilia ukiwa na hamu na hakikisha unamfokoa hata kule kwingine akishaona haumshobokei kama zamani akileta mboyoyo mchane live kwamba una demu wako unayemheshimu na akae mbali nawe...
Huyu mzee azuiwe kuongea sasa. Uchawa gani huu na umri wote ule na utajiri walioujenga kwenye mihimili ya wizi wa malighafi za watanzania??? Akae kimya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.