Kuna mmoja alinikera hadi nkahc kutetemeka kwa hasira ...ndo mara yangu ya kwanz kumpiga mtot wa watu mikwenz na mitama na ikawa mwsho wa mahusiano yetu japo kuna muda namkumbuka sanaa ila nkiwazia ujinga alonifanyia naona nlikuw sahihi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.