Mwanamke ukimkuna vizuri akaridhika wengi huwa wanatulia na kukaa hata week mpaka mwezi brother kuna vingi vya kujiuliza tuliza akili na wala usipanic wala kuboreka.
Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa umeoa mke wa mtu.
Kumbuka ipo siku baba wa mtoto atamtaka mtoto wake je? mamaye akimpeleka mtoto kwa babaye nin kitatokea huko?
#Ushauri!
Lakin pia wanaume tupunguze kuwazalisha wanawake na kuwaacha, Kama unahisi mwanamke huyo huna malengo naye usi date nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.