*TOYOTA IST
YEAR OF MANU 2005
ENGINE CC 1290
REG NUMBER #DHJ
*PRICE 8.7M *
IKO VIZUR IWAHI[emoji91]
0719921552 call
Mimi ndiye mmiliki ,Nimefulia sana Nahitaji Hela
Leo nimebahatika kutazama video ya huyu Jamaa alie fanana na Diamond..mwanzoni sikiweza kutofautisha yaani nilijua ni Mond mwenyewe
Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !
Habari wakuu..kuna sehem nimepita nimekuta mwanamke ana lalamika kuwa ameachana na mume wake mwaka 2016. Anadai hakudai Mali kabisa ila kwasasa anataka aanze mchakato wa kudai Mali ili apate mgawanyo wake..anadai yeye ndie alie kuwa chanzo cha mume wake huyo kufanikiwa kimaisha na kuwa na mali...
Habari wakuu,
Hii taa ya bluu Ina maanisha nini? Imekuwa ikiwaka muda ninaowasha gari na inapotea baada ya gari kutembea kidogo
Naomba kujuzwa ina maana gani?
Habari wakuu
Nahitaji gari ya kutembelea hapa mjini Dar. Gari iwe imenyooka sana na bajet yangu haizidi milioni 8
NB. Nataka gari nzuri iliyo nyooka na yenye muonekano mzuri
Habari wakuu
Nilikuwa na wazo la kununua Toyota IST kwaajili ya mizunguko yangu ya kazi, lakini ghafra mawazo yangu naona yanabadilika na kuhamia kwenye Subaru impreza ...nimetokea kuipenda hii gari pia hazitofautiani sana bei na toyota IST ..
SWALI
Je, kuna uwezekano wa kuipandisha juu hii...
Habari wakuu,
Leo ni siku ya nane siskii harufu yoyote. Mwanzoni nilikuwa naona labda ni kawaida ila Leo nimeona huwenda litakuwa ni tatizo. Nimechukuwa dawa ya chooni ambayo harufu yake kawaida inakuwa kali sana,lakini baada ya kuimwaga chooni Mimi sijaskia harufu yoyote. Nikaamua kunusa iyo...
Habari wakuu,
(R & L kwangu ni tatizo )
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa Kitanzania ambae elimu yangu ni kidato cha nne, yaani nilifeli kidato cha nne.
Kwa sasa naishi maisha ya kawaida. Nimekuwa nikishangazwa sana na hawa binadamu ambao elimu zao zimefikia chuo.
Nimekuwa nikiwaajiri hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.