Nlisikia iyo sentensi kwenye nyimbo ya harmonize inaitwa "kushoto kulia" Harmonize alisema "sipigi ngenga, pesa ninayo", sasa najiuliza kupiga ngenga maana ake ni nini?
Kiuhalisia, huyo mwanaume hujampenda toka moyoni na hujavutiwa nae kingono, umemvulia nguo kwasababu ana hela na anakupa pesa za bure, huyo mwanaume asiengekua na hela usingeandika huu uzi..na wala usingemkubali
Kama hii story sio chai, basi huyo mwanaume ni fala wa kiwango cha lami, miminimama
Dada yangu, ulioyasema sio rahisi kama unavofikiria, mara nyingi kwa sisi wanaume ili tupate wanawake tunaowapenda, inabidi tukubali kupendewa hela, bcoz wanawake tunaowapenda wanakua hawatupendi, na hawana time na sisi..
Sisi wanaume tukipata wanawake tuliowapenda toka moyoni bila kutumia hela...
Nimeshaobserve sana hili suala yaani kwa mfano mimi nisipomtamani mdada rohoni, huyo mdada lazima anishobokee, kosa ni kuwa nikiona mdada halafu moyoni nikaanza kumtamani sana na kumpenda na kumuwaza kila siku, bhasi huwa simpati.
Hii haijalishi muonekano wake, mdada anaeza akawa mzuri tu, ila...
Ingia Facebook kuna walokole flani, zitafte hizi akaunti, tafta Rachael Abigail Mushala Chisulo, au zipporah mushala, wanatoa shuhuda nyingi wanadai wanamuona yesu USO kwa USO ni wana maombi, ila maisha yao ni ya kawaida sana, fungu la kumi wanatoa, kama huyo rachel ana kazi ila anaishi nyumba...
Umeona eeh Shida ya mtoa mada ni vyeti vya chuo, na jinsia yake ya kiume, mwanamke ukiwa na miaka 36 huna chochote jamii haikudharau, ila mwanaume miaka 36 huna chochote basi jamii lazma ikuone boya, mm naona sometimes ni heri hata MTU uishie form 4 au darasa la 7 Ili upate excuse ya kuanzia...
Mkuu hayo unayosema ni ya kweli na umeyaona kwa macho? Yani sirjeff_denis (ontario) anaishi kwenye hostel za wanafunz huku akilipa tsh elf 60 kwa mwezi?? mng'ato
Nimeobserve hili swala, unakuta MTU amepiga bingo, labda kalipwa pensheni, au kashinda betting, au hustle zake zimemlipa pesa nyingi kidogo, watu wa pembeni wanaanza kusema, ahh flani kapata million 200, zile pesa zitaisha tu..
Kwamfano ikitokea umefilisika, watu wa karibu, especially marafiki...
Her reply: Sina simu,
Two things are involved, aidha-
1) Hana simu kweli: Sasa mdada asie na simu mie wa nini, hata nkimnunulia simu nina uhakika gani kuwa ananipenda na atanikubali.
2)Anayo simu: Hanitaki Paula Paul
Sisemei uwezo wa mwanaume kupiga mashine, nazungumzia mvuto wa mwanaume kingono, wanaume ambao wana pesa nyingi half wawe na mvuto wa kingono ni wachache mno Noelia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.