Kuna jambo binafsi nimekuwa siliamini sana kama lipo, labda sababu kuona ni kuamini.
Kuna 'sista' wangu mmoja leo ame-share nami kitu kilichonishangaza kidogo, wenye ndoa wenzangu labda mnaweza fumbua macho pia.
Huyu 'sista' alimuattend dada mmoja, baadae akaombwa namba yake ya simu kwa kigezo...
Hii ni story tu kama story zingine, ila unaweza isoma. Tunapata uzoefu wa maisha kupitia watu na story zao.
Yote ya hapa ni story tu. Ila si mbaya ukasoma. Ina sehemu tatu, sehemu ya pili ndio mzizi wa story hii. Ila tuanzie kwenye kutano.
KUTANO
Miaka michache kabla ya utawala wa jk kuisha...
Habari ya jioni wanaJF.
Shida ya TV hii, nikiconnect kwenye umeme, inaonyesha kuwa iko power on, kisha inatokea Logo LG (kuonesha kama inataka kuwaka) halafu inakata.
Inabidi niiache kwa muda wa kama masaa matatu, kisha ninanurudia tena zoezi hilo la kuizima na kuiwasha (naweza tumia nusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.