Wadau tujuzane juu ya hawa Loan Board kuhusu wale appellant. Maana hatujui kama kuna batch nyingine tena au kama haipo. Maana watu bado tupo njiapanda.
Nimeona jana kwenye habari kiongozi wa HESLB akisema tayari ametoa mikopo kwa wanafunzi zaid ya 45 elfu, na kundi lililobakia kupewa ni dogo sana hasa kwa wale ambao ndiyo wanafanya marekebisho ya dosari zao.
Sasa swali ni kwamba inakuwaje kwa mtu ambaye tangu first batch anaandikiwa "complete...
Sasa hawa jamaa inabidi tumuulize waziri mwenye dhamana maana kama wao walijinadi kuwa watahakikisha mikopo inawafikia walengwa kabla ya vyuo kufunguliwa na vyo ndo hivyo tayari kesho watu wanaripoti .sasa inakuwaje tena kuendelea kusema bado kuna batch zinaendelea hawaoni kama kuna watu...
Vipi kuhusu muda wa usajiri maana pia huwa kuna time limit ktk zoez LA usajiri maana pia usajiri ukifungwa wakati we haupo chuoni bado hata mikopo ukitoka ww huwezi kwenda kusajiliwa maana muda unakuwa ulishakwishs.
Kuna wakati hawa jamaa wa loan bord wanafanya mambo ambayo hatuyaelewi maana kwa changamoto kama hizo lazima wahusika wazijue ili watu wasiwe wanakwama kama hivyo ili hali kwa tafsiri halisi mkopo ni deni ambalo lazima ulipe bila kujalisha ni mtoto wa maskini au tajiri .kumbuka Leo ni kukopeshwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.