yule nduguye hana hati yoyote. maendeleo yote yamefanywa na baba, na kila document imeandikwa kwa jina la baba yangu mpaka meter za umeme zimeandikwa kwa jina lake na risiti zipo toka 90's. nashukuru kwa ushauri na msaada wa hapo juu, lakini kwa sasa ningeomba nipewe msaada kutokana na hii scenerio.
alimwachia jumla bila masharti yoyote, nduguye hakutaka chochote wakati huo. baada ya biashara ya pamoja kumalizika kila mtu akaendelea na maisha yake mpka hivi karibuni. NB: ni ndugu wa mbali
Kwa ufupi mimi ni kijana wa chuo, nina ishi na baba na mama. Baba yangu ni mfanyabiashara, miaka 10-15 iliyopita baba alifanya biashara kwa karibu na mfanyabiashara mwenzie ambaye ni ndugu, katika makubaliano yao ya kumaliza kufanya biashara pamoja yule ndugu alikubali kumwachia baba yangu eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.