Acheni uongo na uzandiki wapuuzi msijua vitu mimi nimtanzania na na sina akaunt instagram na facebook akaunti yangu ina miaka 5 huyo mdada simjui na wala sio mimi
....account yangu ni fb tu na anaesema ni muafrika kusini tuangalia account hii na picha hizi
Za leo wakubwa kwa wadogo mimi lydia james leo nimejiunga na mtandao huu kwa lengo la kukuza ufahamu katika mambo mbalimbali naomba mnipokee kama mgeni wenu tushirikiane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.