From my inner heart ninakuunga mkono kabisa. Mimi nilipoona Mzize kaanza badala ya Musonda nikajua Leo kazi ipo. Pamoja na Mzize kufunga goli lakini tayari alikuwa amekosa magoli mawili ya wazi kabisa. Pacome alipoumia mtu sahihi wa kuingia alikuwa ni Okra lakini dah, akaingizwa Guede ! Hapo...
Yuko sahihi kabisa. Kiomboi Iko pembeni sana. Misigiri panafaa kuwa makao makuu ya Wilaya ya Iramba. Hata Wilaya ya Kwimba wafanye haraka mchakato wa kuhamisha makao makuu ya Wilaya kutoka Ngudu ambako ni pembeni kwenda Hungumalwa kwenye barabara kuu.
Naijua sana historia ya uhuru wa Tanganyika, lakini narudia Tena wakati wa TAA na hatimaye kuundwa kwa TANU mwenye elimu ngazi ya Digrii alikuwa ni Kambarage tu na mwenye hela kuwazidi wote alikuwa John Rupia. Wengine walikuwa na elimu ya kawaida na hela kiduchu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.