Acha hizo, hakuna cha trust wala nini! Mwanaume akifulia hakuna amani tena! Kifo nje nje kwa stress sababu kuu ni mwanamke! Mimi niliponea kiduchu kufa kabla sijapindua meza
Hii ajari nimeishuhudia live. Tukiwa tumesimama kusubiria kwasababu taa zilikuwa zimeruhusu Mwendokasi zipite, boda boda yule akaona anachelewa, akaangalia upande mmoja akaona kweupe akataka kukatisha kuingia Lumbumba hamadi Mwendokasi hii hapa. Mengine ni history. Ni uzembe wa bodaboda kwa...
Siwezi kununua mali ya mtu aliyeshindwa kurejesha mkopo inayouzwa na taasisi iliyomkopesha. labda kama huyo mdaiwa anauza mali kwa hiari yake mwenyewe. Mauza uza yamekuwa mengi kwenye hizo mali
Ongeza salio lako la akiba hapo benki, utawala kwa urahisi sana. Nimetumia njia hiyo kuwala enzi za ujana wangu. Ukishapata namba yake Mpigie tu akusaidie kukuangalizia salio la akaunt ukimwambia kuna mzigo unausubiria uwekwe kwenye akaunti yako. akikuta salio la kutosha hutahitaji kumtongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.