Mngejua tu sina nia ya kujionyesha, ni kwamba mtu aliniambia amemaliza shule flani so ikanibidi ningie google kuprove,niliposearch sikuona results ya jina lake na shule aliyosoma zaidi ya account zake za facebook, linkedin,.ikabidi nijaribu kusearch jina langu nkaona hvyo hvyo, nkasearch jina la...
wadau wa JF,mimi nimemaliza form six mwaka juzi 2010 hivi karibuni nimekua nikisearch jina langu na na majina ya watu wengine kwenye google lakini cha kushangaza kwnye search results google haileti link ya matokeo yangu ya form 4 mwaka 2008 wala form sixwala selection yangu ya chuo kikuu, je...
ingekua Udsm pekee ndo inatoa masters, kweli wangekua na haki ya kufanya hivyo, but as long as vipo vingine vinatoa masters, nyie kalaleni tu na masters yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.