Tazizo la computer ni km linavyoonekana kwenye picha, nimebadili hard disk, ram, screen tatizo bado liko palepale, hiyo mistari inakuja na kupotea wakati mwingne inajizima na kujiwasha. na kuna wakati nikiizima kuja kuwasha inagoma kuwa kwa kawaida inawakia kwenye safe mode. mataalam ani PM...
Mr. clajago ahsante kwa ushauri wako ila hivyo vote nimeangalia na kubadilisha na kuweka vipya mpaka hard disk nayo nilibadili, pamoja na kutafuta monitor nyngne tatizo lipo ndani wala sio hivo vitu ulivovisema.
Screen haina taizo kabisa wala huo mkanda, kwani kuna wakati inaniandikia display not.....ila hasa kuna driver inaitwa NVIDIA GEFORCE 8400M GT yenyewe haina tatizo tazizo ni hardware ya hiyo nvidia ndo maana nikahitaji mtaalamu anaeweza anisaidie
Wadau nina tatizo na Laptop yangu ina zingua sana inakuwa inazima na kujiwasha na kisha inaleta blue screen na maandishi mengi sna kisha ikitulia inafanya kazi wakat mwingine inaleta mistari kwenye screen hasa napoanza kuplay video yoyote ile. mtaalamu yeyote anisadie.
Wadau nina tatizo na Laptop yangu ina zingua sana inakuwa inazima na kujiwasha na kisha inaleta blue screen na maandishi mengi sna kisha ikitulia inafanya kazi wakat mwingine inaleta mistari kwenye screen hasa napoanza kuplay video yoyote ile. mtaalamu yeyote anisadie.
Wakuu naona Gomel amenisaidia kutoa jibu mapema. kama upo nje ya mji wa Dar itakuwa ngumu na pia km unaking'amzi cha mwanzo kabisa nacho sina imani nacho kupata hizo chanel jaribu hapa
Frequency units ni:-
650 kuna channel 8;
682 kuna channel 7;
714 kuna channel 7;
746 kuna channel 6;
778...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.