*FAHAMU KIDOGO KUHUSU LOAN BOARD NDUGU!*
Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao. Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA, yaani watoto wa maskini...
*MAHUSIANO, UCHUMBA NA NDOA.*
*SOMO: INAWEZEKANA KABISA KUEPUKANA NA TAMAA YA UZINZI.*
Mafungu elekezi:
Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.
Wimbo Ulio Bora 3:5
Usizini.
Kutoka 20:14
Tazama...
Kuna kitu wazee na vijana wadogo hawajui chochote kuhusu.
Kanisa pia limefumba macho juu ya suala hili. Hakuna mtu anayetaka kuizungumzia lakini ni ya kweli.
Ikiwa haujui ndugu zangu, nataka kukuambia kuwa: NGONO ni risasi ya mwisho ambayo ufalme wa giza umetupa dhidi ya kanisa la Mungu, na...
NAONGEZEA
1.USITONGOZE HOVYO
2.USISHOBOKE HOVYO KILA MTU UNAATAK KUONGEA NAE
3.USIKOPE HOVYO
4.MAKE SURE YOUR FIRST IMPRESSION ARE ALWAYS THE BEST
5.SPEAK WHEN ITS ONLY NECESSARY
6.MARAFIKI ZAKO WA KIKE USIPENDE KUWAITA BABY SIJUI LOVE SIJUI DEAR
6.KUWA NA MOYO WA UKARIMU
7.UKIKOPA LIPA...
THE TRUTH ABOUT SEX
..
There is something both the aged and the infant do not know anything about.
The church also has closed her eyes on this particular issue. Nobody wants to talk about it but it is very real.
In case you are not aware my brethren, I want to tell you that: SEXUAL IMMORALITY...
*ni samahani okay marafiki ngono ni marafiki ambao wanakuvutia kwenye vitendo vya ngono aidha kwa mazungumzo yenu au matendo yenu pia wanawez kuwa wale tunaowaitea friend's with benefit hampo kwenye mahusiano lakin mnashiriki ngono
DALILI 9 ZA MTUMWA WA NGONO
1. Akili yako imejaa picha za ngono, na ubongo wako umejaa mawazo ya ngono.
2. Uwezo wako wa kufikiri umeshuka hadi chini ya asilimia 5, na uwezo wako wa hisia umepanda hadi zaidi ya asilimia 95, na akili yako haitofautiani sana na akili ya mbuzi.
3. Huwezi kufanya...
Baada ya Laizer kupiga hela ya TANZANITE mengi yamezungumzwa, Mimi nimelitazama Jambo hili katika Kona nyingine. Nimeaangalia matajiri wetu wakubwa Tanzania kuanzia wa kwanza Hadi wa 12 list yao Ni Kama ifuatavyo:-
1.Mohammed Dewji.
2.Rostam Azizi.
3.Said Salim Bakhresa.
4.Reginald Mengi...
*USISUBIRI MPAKA WATU WAKUONEE HURUMA*
---------------------------------------
Katika vitu nilivyo jifunza kwenye maisha ya mwanadamu ni watu kupenda kuonewa huruma. Kuna watu wao wanataka kila muda waonewe huruma!
Yaani ni watu wa kujiona wao ndio wanashida sana wao wana matatizo sana, hawa...
SEHEMU YA KWANZA
[emoji1630] *KWANINI SINGLE MOTHERS WANAONGEZEKA DUNIANI?*
*BY MR. GODFREY EDWARD*
*Single Mothers* na mahusiano mengi kuvunjika mara kwa mara kwa maono mapana naona inasababishwa na tatizo moja kuu.
Watu wengi wanaingia kwenye *Mahusiano* na wenza ambao sio sahihi kwao...
Miaka michache ijayo kutakuwa na kizazi ambacho wanawake watakuwa watawala wtu wenye nguvu na kujitegemea kuliko wanaume hii ni kutokana na
1. Mwamko wa wanawake katika maswala ya kujitegemea
2. Kampeni za haki sawa
3. Kampeni za kuinua wanawake
N.k
Nini mtazamo wako kuhusu hil!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.