Search results

  1. J

    Serikali imelala, miezi 3 ijayo tunaangamia

    nchi inaendeshwa na wapambe km akina wasira,mkulo.kombani ambaye aliye mpa ajira shemeji yake frm 4 failure jiji la mwanza km mtaalamu wa idara ya maji hebu niambie nani mshauri wa rais ktk mambo ya uchumi,kilimo,afya,elimu,ulinzi zaidi ya hao wanasiasa na wengine hawana shule
  2. J

    Dr Slaa na sekratariet yako. wajibikeni katika hali...

    sawa mkuu but kuna maeneo cdm haijawi kutia hata maguu km jimbo la mkono msoma vjjn wapite angalau mar 1 wahamasishe watu
  3. J

    Serikali ya Tanzania yatoa tamko, yamlilia Gaddafi

    membe nae awe mkuu wa kaya hebu usituchefue na hayo majina vilaza wako km unamtaka sana mpeleke nyumbani kwako ukamuone ww na mkeo 2015 dr wa ukweli
  4. J

    Mkulo ataka kumshughulikia Zitto kwa fedha za fisadi

    zitto komaa naye huyo mzushi na hizo sarakasi zake mpaka akiri
  5. J

    chadema mbona mmetutenga musoma vijijini?

    Ngoja ngoja yaumiza matumbo saa ya ukombozi sasa
  6. J

    chadema mbona mmetutenga musoma vijijini?

    kila mnapofanya harakati zen mnaishia tarime.bunda.msm mjn na mgumu na kwa taarifa yenu uchaguz 2010 cdm ndo mliongoza njoni majita tunawasubiri sana wana cdm wambieni hao waje uku naomba kuwaclisha .
Back
Top Bottom