nchi inaendeshwa na wapambe km akina wasira,mkulo.kombani ambaye aliye mpa ajira shemeji yake frm 4 failure jiji la mwanza km mtaalamu wa idara ya maji hebu niambie nani mshauri wa rais ktk mambo ya uchumi,kilimo,afya,elimu,ulinzi zaidi ya hao wanasiasa na wengine hawana shule
kila mnapofanya harakati zen mnaishia tarime.bunda.msm mjn na mgumu na kwa taarifa yenu uchaguz 2010 cdm ndo mliongoza njoni majita tunawasubiri sana wana cdm wambieni hao waje uku naomba kuwaclisha .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.