Wakuu kumekuwa na mtimdo sasa hivi wa kupimp gari na kufunga taaa taa nyingi sana za urembo kwenye gari..ikiwa pamoja na kutoa taa kubwa original za kuja na gari na kufunga zingine ili gari iwe na mwanga mkali zaidi..wengine hufunga taa za boostar ni hatari sana usifanye hivyo kwenye gari zenu...
nilikuwa naomba msaada wa kupatiwa soft copy ya sheria ya makosa ya mtandao kwa lugha ya kiswahili..
au kama kuna mtaalam wa sheria anaweza nifafanulia sheria inasemaje juu ya kosa ,kesi hii UCHOCHEZI KWA NJIA YA MTANDAO
nimeleta huu uzi ili uweze kutatua matatizo madogo madogo ambayo unaweza kuyatatua kwenye gari yako pindi linapo leta hitilafu upande wa umeme na kuwasha taa za tahadhari kama taa ya CHECK ENGINE, ABS,O/D,VSV,TRS,SRS or AIRBAG n.k
hapa tutafahamishana na kusaidiana kuweza kuipima gari yako bila...
naamini humu kuna wataalam na watu wenye uelewa tofauti na wajuzi wa mambo katika fani mbali mbali.
naomba nielezee shida yangu naamini mtaelewa nini nataka.
naomba nianze na mfano. aplication gani inaweza nifanyia kazi hii au ni vipi naweza fanikisha hili??
mfano .mtu mmoja awe mwenge na TV...
kaeni mkao wa kula story nyingine toka kwa mtunzi yule yule aliyetunga peniela now kaja na kitu kiitwacho queen monica. kutana na kijana AUSTIN JANUARY mtanashati na jasusi hatari anafanya mambo makubwa sana.
ALBERTOS kundi hatari linalotaka kuitawala dunia limeingia pia tanzania
wa kuu naamini humu kuna mafundi nawatu wanaojihusisha na magari sana kama sio kutengeneza kutumia au kuuza.shida yangu ni wiring diagram ya pin za control box.gari yenyewe ina engine ya 1MZ FE na control box yenyewe ina maboya matano na ningazi 4.
usije ukanishauri kuwa niende toyota wao...
Kuna taa huwa inawaka kwenye raum new model inakuwa nyekundu ni triangle katikati ina alama ya mshangao. Watu wengi wamekuwa wanapigwa hela kwa mafundi huku wengine wakisema kuwa wana wapimia na mashine na wengine mafundi wanahangaika nayo sana.
Taa hiyo huwa inawaka kama utawasha gari au...
Wakuu salama nilikuwa naomba kuuliza mwenye softwere inayotumika kupata detail za gari mfano mtu unataka spare ya gari flan unaambiwa utoe au umtumie chasisi au vin number ili uweze kupewa spare ya gari lako.. hasa hasa kwa wauza spare ndio hutumia sana hii njia CC mshana jr
MISS TANZANIA
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: PATRICK .C.K
==========
Haki zote zimehifadhiwa hairuhusiwi kunakili, kuchapa maandiko ya kitabu hiki bila idhini ya wahusika wakuu.
“Patrick amka darling, inakaribia saa nne sasa”, alisema Veronika kwa sauti laini ya kubembeleza.
“‘Mmmmhhh” Akaguna...
nataka kufaham ufanyaji kazi wa remote control.ni vipi remote zinafanya kazi na kwanini remote haziwezi kuingiliana ? na wakati remote ina oparate kipi huwa kinfanyika?? na je kwenye saketi ya remote ile chip inayokuwa na data au CODE huwa zile data unaweza kuzisoma na kama inawezekana unaweza...
BEFORE I DIE
SEHEMU YA KWANZA
Ni Edson Benard pekee ambaye hakuungana na familia yao jioni hii ya katika mapokezi ya mdogo wake Innocent anayerejea nyumbani baada ya kuhitimu shahada ya kwanza ya uchumi na fedha katika chuo kikuu cha Columbia jijini New york Marekani.
Mzee Vincent Benard...
SEASON 1
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI : PATRICK.CK
Ni saa sita za usiku sasa bado jaji Elibariki chukuswa yuko sebuleni akiendelea kupitia kitabu chake cha sheria .Katika meza ndogo kulikuwa na vitabu vingine zaidi ya saba vya sheria.Aliendelea kufungua ukurasa baada ya ukurasa.Alionekana kuwa na...
Technolojia ina mengi na inaumiza wengi tusio kuwa na uelewa nayo. Kumbe kuna wimbi kubwa sana la watu wana agiza magari kutoka nje na hata kununua kwenye show room za hapa bongo kwa kigezo cha kuangalia kilomita zilizotembewa na kufanya ndio kipimo cha ubora na ubora wa gari.
Hapo wengi...
wakuu kuna hizi gari zenye rotary engine.zinaonekana kama ni ngeni sana ingawa ni engine ambazo zipo mda mrefu sana lkn kwetu hapa naona now watu ndio wanazinunua nunua.ili tusidindokee kule kule kwenye garin zenye engine ya d4 kuwa ni kimeo.kwa wale wenye uelewa ,ujuzi na utaalam tu share hapa...
wakuu hembu naomba mm mnijuze kidogo nafikiria sana juu ya watu wanao sema kuwa gari yenye cc kubwa ndio hula sana mafuta.kwa mbali na kubali na kwaukubwa nakataaa.
kukataa kwangu kuna ambatana na kuwa gari kutumia mafuta mengi inategemeana na techonogia gani iliyotumika kwenye hiyo engine na...
wakuu najua hapa nimahali sahihi ambapo watu wanashauriwa na kupewa ufafanuzi wa matatizo ya vyombo vya moto .hivyo ingekuwa si vibaya sana kwa wale mafundi au wenye ujuzi katika sekta fulani wakajitambulisha ,kuwa wamebobea kwenye fani gani ikiwezekana wanapatikana wapi na mawasiliano yao...
AYA: Wimbo wa Gaidi
MTUNZI: Hussein Tuwa
UTANGULIZI
Ni miaka mitatu tangu kuuawa kwa Osama bin Laden nchini Pakistan. Wanamgambo wa Al-Qaida wamesambaratika. Wengi miongoni mwao wameuawa, wengine wamekamatwa na majeshi ya marekani nchini Pakistani…na kikundi cha wachache wengine kimefanikiwa...
Wakuu salama nyote ? mm ni fundi umeme wa magari baada ya kukaa nakufikilia nimehisi kuwa control ya air bag/SRS yaweza kuwa sawa na black box kwenye ndege kwa kuwa ndege ikipata ajari huwa kinatafutwa hicho kisanduku cheusi ambacho huwa wanasema kinahifadhi kumbukumbu za ndege hili siwezi...
wakuu kuna njia kuu 2 za kufanya diagnosis kwenye gari.
kwakutumia mashine na kwakutumia softwere ambazo huwa una install kwenye laptop or pc au phone na kuzitumia.
mm nimekuwa natumia mashine na kiukweli bado hizi mashine hazijitoshelezi unakuta kuna baadhi ya gari zinagoma au unakuta...
Wakuu kuna hiki kitu ukimuuliza MTU yoyote hata mafundi wazamani wakongwe ukimwambia suala LA kustua Gari ya automatic atakwambia haiwezekani kabisaa.ukimuuliza why na akupe sababu atakupa sababu za kawaida kabisa ambazo mm kwangu zinajibika na zinakuwa na njia mbadala na bado zinabaki kutozuia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.