hahahaha Hyundai kweli ndio yakuchachafya watu..broo maisha umebadilika sana now days harafu hakuna cha ajabu kwenye hizo gari zaidi labda spare ..kwanza huwa nashangaa kama maagizo magari ya milion 10 mnashindwaje kuagiza spare za milion 2 au 3 ..shida kubwa huwa ni spare na sio mafundi kwa sasa
utakavyo kufanya ww ni hardwere na lazima kitakuwa detected kwamba kuna problem mahali..
control ndio huwa inafanya kazi ya kuadjust mafuta kutokana na taarifa inayopokewa kutoka kwenye oxygen sensor itakachofanya inaongeza kiwango cha mafuta..
so we ukitaka mambo yawe sawa kwenye gari...
yes yes yes..hapo kwenye kutoa masega .usiumize sana kichwa upo na simu unatumia internet ka google advantege ya kuremove CAT na DPF .
na pia hapo kwenye masega kutoa mm hapo nazungumzia kutoa kitalaam sio kiholela..unatoa masega harafu unakwenda kwenye MAP ya ECU una remove/tune cancel CAT...
sikia kkwanzakwa kukusaidia huwezi kuwa na mashine moja ikamaliza kila kitu..ukitaka mashine ya kihivyo ww huwezi inunua zipo mashine za 1 man show..independent tool..kuna mashine inaitwa AUTO LOGIC itafute ifuatilie ikiwa full utakimbia..but waweza inunua au makampuni makubwa yananunua na...
hapo napingana na ww kidogo sana ..kwanza kwenye athari ukitoa masega kitakacho tokea air fuel ratio itapotea itakayokuwa inasomwa kwenye gari na oxygen sensor kitakachotokea hapo ECU ita adjust kiasi cha mafuta itaongeza ili kubalance ratio iwe sawa..hapo kwenye upande wa umeme na ecu...
hahahaha unaona sasa ulikuwa navyo na hukuweza kuvitunza sababu ulivipata kwa slope sana..ungeviacha pale ofisini mpaka leo vingekuwepo shida madogo nyie wabinafsi sana..ofisin vilikuwa vinawasaidia wote ww na wenzio leo wenzio wanapata shida coz nyie mlihamishia kwenu..zile chache mlizoziacha...
fundi acha uvivu fundi acha kutaka vya bureee..mseleleko utakufanya kila siku uwe nyuma diagram za bure haziwezi kidhi haja zako utapewa nusunusu..coz 1nz ipo kwenye body nyingi utapewa pin chache coz nyingine zinabadilika kutokana na body ya gari all in all mm nipo na diagram zooote gari...
mkuu kwaharaka haraka na kwa uzoefu wangu hapo gearbox ndio anaanza kuwa bye bye na mara nyinyi wenye magari ndio mnaziua bila shaka gari yako gearbox yako ni ya CVT sasa wengi wenu niwabishi mnaweka oil ya kawaida hapo ndio shida huanza na itaendelea hivyo mwishowe kwa style hiyo itakata...
ni ngum sana kuelewa hizi mambo vijana wa leo wavivu wavivu ndio maana hata kuendesha manuall hawawezi wanalalamika..dereva wa zamani ni nusu fundi asilimia stini anatengeneza mwenyewe au faham matatizo ya gari..
wengi wanaongopeana kwamba dry cell sijui bettry wakiamin kwamba hazina maji.na...
lkn tip kujaa uchafu au plug kujaa uchafu husababishwa na vitu vingi..plug zinaweza zikawa mpya au mda wakubadilishwa haujafika lkn ukaziona zimechoka kwa mfano air clener ikiwa chafu..valve seal zikiwa majanga kwa namna yoyote ile oil ikawa inaingia kwenye chember
mkuu jibu lako la swali lako ni jepesi sana na yawezekana wadau washakujibu lakini mm nakazia tuu hapo hapo..gari ikisha waka ikiwa inafanya kazi..inapolipua na piston inashuka chini kwa kusaidiana na crank shaft hufanya mzunguko uwe mzito na wenye nguvu..kwenye crankshaft kuna vyuma vikubwa...
nunua gari kagua body na engine kama iko powa ..achana na mambo ya kuangalia millage..tupo hapa ukitaka utaandikiwa hata 0KM
WEEL COME JO AUTO TECH kwashida au tatizo lolote kwenye gari yako lihusulo umeme
kama unahitaji techstream haina shida softwere mm ninazo new version nitakuwekea na kuactivate kabisa.
shida ya cable huwezi pima gari zote mkuu.
lkn softwere ya teachstream usiwe na wasi ipo naweza kuku fanyia instalattion by team viwer. TV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.