Nilileta mrejesho
Kuna mwamba yupo Vingunguti alinisaidia kwa Laki na nusu tu
Kesi mahakamani nilishinda
Na mtesi wangu mpaka leo mambo yake hayaendi amevurugwa soon atarudi kijijini mjini kumesha mshinda
Mimi binafsi huwa nasema mwanaume akinipiga basi hio siku ahakikishe ananiua kabisa,ila kama ananipapasa ipo siku yake ntamuua mimi tena siku asio tarajia
Asante Mungu mume sio mpigaji,huyu mwanaume kwenye ukomavu wa kihisia nimemkubali
Yes umekua mchungu nime loga na sasa amani imetawala
Mambo ya kawaida sana hayo mtaani ni mkiwa nyuma ya keybord mnajifanya kushangaa
Bottom line kuna utulivu na amani nyumbani kwangu[emoji4]inamaama mlogo umekolea[emoji91][emoji91][emoji91]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.