gx 100 cresta iko poa sana kuliko mark II sababu ya consuption. Cresta engine yake ni v vti hainywi sana (1ltr=9km) ila mark II ni v6 (1ltr=7-7.5km)
Nimezitumia zote.
yote makosa, kufanya uzinzi kabla ya ndo na kuzaa kabla ya ndoa. Muhimu ni likikutokea kati ya hayo ukatubu kwa imani yako. Unaweza ukawa mjanja sana kukwepa kubeba/kubebesha mimba lakini ukawa mwongo/ mnafiki n.k zote dhambi. Nawasilisha...!
mkuu si kweli kwa hoja yako...inaonekana ungekua unaishi japan pia ungesifia ya mjapani. OUT OF SITE''OUT OF MIND.
Acha watu wafanye shopping accordingly..Subaru'Forester zingekua zinatokea UK la hasha Arusha tungekua tunachukulia hapo mkuu. Umetoa ushauri lakini kama vile unalazimisha..!!
ni mara ya 2 sasa tangu mwezi wa kumi mwaka huu kutokewa na tatizo la moyo kwenda mbio na kuishiwa nguvu mwili mzima wakati wa tendo la ndoa hasa napokua katka harakat za kufunga goli la pili. Nimeshindwa kuibua sababu ya hii....
sio kweli, umepewa tangazo la kzi jana halafu leo wakupigie kua wameshapata, hata hujui ni kazi gani, wapi n.k? We kama una kazi shukuru Mungu maana ni kama vile unapima kuona wangapi watacomment.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.