hako kachupi angevaa wema naamini humu ndani watu wangefunguka balaa,tena kidharau dharau zaidi,lkn lady b na pongezi anapewa.
ona mumewe alivyovaa vizuri,wanawake tunapenda kujidharirisha wenyewe,ndo biashara gani sasa hiyo.
Jamani na mimi nasumbuliwa na hili tatizo haswa kitumbo mpk fgr 8 yangu imepotea sasa. But to reduce it nimekua nikishinda na njaa na kula mr moja 2 kwa siku. Kinachonishinda n kwamba siwez kuacha kula chips mayai na ninakula karibia kila cku. Msaada plz,cjui km nitaweza kutatua tatzo.
habari wanajamvi,kwanza kabisa poleni na majukumu ya kila siku pili hongera kwa kuzaliwa tanzania na kuongeza idadi ya waafrika. nikirudi ktk topic nduguzanguni nahitaj msaada wa ushauri ni nini cha kufanya kwa huyu mtoto anaeteseka tangu kuzaliwa kwa mwaka na miezi 7 sasa. ana tatizo la kutokwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.