Bila juhudi zake za kufichua maovu ya serikali kule bungeni na kujitoa muhanga kwa kukubali kupewa kifungo cha kutokuhudhuria vikao vya bunge kufuatia msimamo wake juu ya Karamagi kusaini mkataba nje ya nchi hatua iliyopelekea CHADEMA kuanzisha Operation Sangara iliyowafanya kupata supporters...
Habari wanajamii, naomba msaada kwa yeyote anaeweza kunipa taarifa sahihi ya uwezekano wa kupata kiwanja cha makazi maeneo ambayo ni nje kidogo ya mji wa Dar es salaam lakini si mbali sana kwa kiasi hicho cha fedha.
Natanguliza shukurani.
Hata hizo za diploma hawezi kupata sababu hana diploma ya ualimu, aliyokuwa nayo mwanzo ni leseni tu na miaka mi5 ya uhai wa leseni hiyo imekwisha.
Kama kweli anaupenda ualimu, akasome Post Graduate Diploma in Education, akichanganya na hyo BBA yake ndio ataweza kupata tena ajira kamili kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.