Wapendwa natakaa kuconvert video iliziweze kuomekana kwenye tv na radio maana nikiweka kwenye tv napata ujumbe not supported. Natanguliza shukrani. Na heri ya mwaka mpya 2022
Sikuungi mkono, kila mmoja anakitu amambocho yeye akisomea na kukifanya anakuwa comfortable na anafanya kwa moyoo wote, huwezi mchagulia mtu nini cha kufanya na kusoma, hayoo mambo yalishapitwa na wakati, umeshawahi pita kwenye taasisi mbalimbali mtu anakwambia hatasijuii kwanini nilisoma hii...
Hakuna lolote, ikumbukwe tangazo la mabadikiko ya virushi lilikuwa ni agizo la waziri mwenye dhamana, maanayake alipewa maagizo toka juu, na sababu kubwa nikuona watu hawatunii Social media, hilo lipo wazi, kitu ambacho mama hawezi kukubali ukandamizahi wa hivi maana hakuwa moja wa maamzi ya...
Wapendwa naomba kujua kosa linaloweza mtia hatiani kijana huyu, kijana wangu wa kazi amempa mimba binti wa jirani, ndugu wamempeleka Dawati la jinsia na kumpeleka Polisi, wakidai kosa ni kukataa mimba na Polisi wamemweka maabusu, swali kumpa mimba mtu mzima mwenzako nikosa kisheria?
Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.