Search results

  1. Bruno Toto

    Hebu tukumbushane machungu ya timu zetu siku tulipojutia kwenda uwanjani au Vibanda Umiza

    Kila nikikumbuka Jinsi Said Bahanuzi alivyokosa penalty ya Yanga dhidi ya Zamalek naishiwa nguvu mpaka Leo [emoji51][emoji51][emoji51]
  2. Bruno Toto

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Imekuaje kutoka January to December ni siku 365 ila kutoka December to January ni siku 31?
  3. Bruno Toto

    Leo nimeokota noti ya shilling 10,000 ikiwa ni mara ya pili ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.Je, hii ni bahati tu?

    Nikiwa na chenji chenji natoa, sijawahi kuwapa noti [emoji16][emoji16][emoji16]
  4. Bruno Toto

    Shule binafsi kulazimisha darasa la 4&7 kulala bweni

    Watabaki wamiliki na walimu wao, kwanini walazimishe watoto walale shuleni halafu waongeze ada?
  5. Bruno Toto

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    Kwani wapi hao EFM wamesema Mkude kamgonga CEO wa Simba?
  6. Bruno Toto

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    Kumbe huyo PISI KALI anezungumzwa huku mtaani ndo huyo Babra? Au hapo kwenye kipindi walimtaja Jina?
  7. Bruno Toto

    Moshi, Kilimanjaro: Watu waliojitambulisha kama maafisa wa TRA wavamia Rau Pub Usiku huu

    Sio mchaga, ila pia alikua askari Polisi na alifukuzwa kazi, ameshakaa Sana jela jamaa
  8. Bruno Toto

    Jonas Mkude kasimamishwa kwa utovu wa nidhamu

    [emoji3][emoji3][emoji3]
  9. Bruno Toto

    Kwanini Mzee Malecela alijulikana ghafla kama “Jumanne”?

    Sio muislamu, anaitwa William Malecela, unamuita muislamu kisa anapenda kuvaa kanzu? Lile ni vazi tu
  10. Bruno Toto

    Kwanini Mzee Malecela alijulikana ghafla kama “Jumanne”?

    Acha uongo, Le Mutuz ni mkristo muanglikana
  11. Bruno Toto

    #COVID19 Chanjo ya Corona ni hiari au lazima?

    Watanzania ndio watu wa wapi?
  12. Bruno Toto

    ACT-Wazalendo kushiriki SUK: Maoni ya Tundu Lissu

    Ye anavyoita MaCCM ana maana gani? Kwani hawezi kusema CCM?
  13. Bruno Toto

    TANGAZO: Ongezeko la Safari za Treni Dar es Salaam - Arusha kuanzia Desemba 2, 2020

    Na yule Bilionea SANINIU LAIZER anaetumia simu ya tochi je? Kwani kutumia simu flani ndio inaonyesha una fedha kiasi gani?
  14. Bruno Toto

    Kwanini Halima Mdee na wenzake ni lazima wafukuzwe?

    Hivi kwanini CHADEMA mnanunulika kirahisi kiasi hicho? Hivi kuna mtu ndani ya CHADEMA anaweza kusema hanunuliki? Mpaka Mdee kweli? Hakuna chama hapo
  15. Bruno Toto

    Spika Ndugai: Siyo lazima mbunge kuapa ndani ya Bunge lililo muhimu ni Mbunge kuapa mbele ya Spika!

    Kwahyo wakiteua wengine means mmekubali kuwa Uchaguzi ulikua huru na wa haki?
Back
Top Bottom