Search results

  1. Msonjo

    Naomba kujua utaratibu wa kuimport bidhaa kutoka nje?

    Habari wadau Kutokana msimu huu wa mfungo wa ramadhani, kuna Ndugu yangu anataka anitumie kama tani 20( kontena) za tende kutoka Saudi Arabia ili nifanye biashara. Sasa nataka kujua ni documents zipi za muhimu ninazihitaji au taratibu za kufuata ili niweze kuupokea mzigo huo. Natanguliza shukrani
  2. Msonjo

    Anahitaji mtu wa kumfanyia feasibility study au kuandika project proposal

    Habari za muda huu wanajamvi, Kuna mtu anataka kuanzisha shule (pre and primary school), hivyo anahitaji mtu wa kumfanyia feasibility study au kuandika project proposal. Ambayo itaonyesha tathimini ya project nzima kuwa inaweza kugharimu kiasi gani. Kwa yeyote anayeweza kuifanya kazi hii...
  3. Msonjo

    Wanaopinga uwepo wa Mungu ni Wakaidi (3)

    Leo natoa na salamu. Kutokea pale nilipoishia. Kwa mwenyeakili atagundua kuwa huu ulimwengu na vyote vilivyomo, havikujiumba vyenyewe bali kuna alieviumba ndio maana vipo katika mpangilio uliopangika sawa sawa. Swali nani aliyeuumba na akauweka katika mpangilio huu? Aliyeumba ulimwengu na...
  4. Msonjo

    Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi - 2

    Wanaopinga uwepo wa Mungu, ukiwauliza kuhusu asili ya huu ulimwengu na jinsi ulivyo katika mpangilio ambao hauna dosari ndani yake, watakwambia ni nature au coincidence. Mimi mtu akinambia hivi swali la kwanza linalokuja akilini mwangu, ni je, hiyo nature inaakili(ufahamu)?. Kinacho mpambanua...
  5. Msonjo

    Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

    Wanaokana mungu huwa wanahoja mbalimbali katika kupinga uwepo wa mungu, pia huwa wanakosoa mafunzo ya dini ili kutilia mkazo zaidi katika hilo. Lakini ukweli ni kwamba, sio kama hoja zao zinathibitisha kutokuwepo kwa mungu, hapana. Bali hoja zao zinathibitisha kuwa wao ni wapingaji, hivyo...
  6. Msonjo

    Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

    Wanaokana mungu huwa wanahoja mbalimbali katika kupinga uwepo wa mungu, pia huwa wanakosoa mafunzo ya dini ili kutilia mkazo zaidi katika hilo. Lakini ukweli ni kwamba, sio kama hoja zao zinathibitisha kutokuwepo kwa mungu, hapana. Bali hoja zao zinathibitisha kuwa wao ni wapingaji, hivyo...
  7. Msonjo

    Je, ni kipi kipimo sahihi cha ubaya?

    Salaam Wanajamvi poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Naomba kuuliza, hivi ni kipi kipimo sahihi cha ubaya ? Kwa sababu wakati mwingine ubaya wa kitu si kutokana na kitu chenyewe kuwa kibaya.Bali ni mtazamo tu wa mtu kwa vile anavyokiona hicho kitu. Kwa mfano mtu anaweza akesema chakula...
  8. Msonjo

    Utamu: Nadharia ya mapenzi na suala zima la upendo

    Habari zenu wadau. Unajua katika mapenzi na sualazima la upendo, kuna tofauti kubwa sana jinsi mtu anavyo mpenda mtu mmoja ukilinganisha na anavyo mpenda mwingine. Unaweza ukamwambia mama yako nakupenda sana. Na ukwambia mkeo/mpenzi wako pia nakupenda sana. Lakini upendo wako kwa mama yako...
  9. Msonjo

    Wasanii si vioo vya jamii

    Wakuu salaam Unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni nani aliyesema msanii ni kioo cha jamii? au kuna maana gani unaposema msanii ni kioo cha jamii? au ni wakati gani msanii anakuwa ni kioo cha jamii? Kwa ninavyofahamu unapojiangalia kwenye kioo unatakiwa ujione mapungufu yako. Na ndio kazi ya...
Back
Top Bottom