Habari zenu,
Jamani mi natafuta kibarua cha miezi michache miwili au mitatu tu. Nishamaliza field nimekaa tu home kurudi chuo ni mpaka mwazi wa tatu mwishoni. Sasahii hali ya kukaa nyumbani tu hufanyi chochote na maisha ni magumu sana.
Nilikua naomba mwenye connection yoyote hata dukani naweza...
Habari,
Kwa sisi wenye ndoto za kujiajiri kila kukicha tunafikilia nini cha kufanya ili kujikwamua.
Unatakiwa uwe na kiasi cha shillingi ngapi ili kuchukua bidhaa either nguo au viatu au mikoba nchini Uganda? (Ya mtumba)
Au ni nchi gani za East Africa kuna unafuu wa kufuata bidhaa na ukapata...
Habari.
Jamani nina rafiki yangu kapata bahati ya kwenda nchini malaysia anaomba ushauri aje kufanya biashara gani akirudi bongo hivi karibuni?
Mwenye idea ya biashara yoyote inayolipa atuambie na pia mtaji inabidi iwe shilingingapi?
Tabia ni kama mazoea ya mtu na kama inavyojulikana tabia ni ngozi.
wewe mpaka ulipofikia hapo ni tabia gani huzipendi kwa watu na huna cha kufanya? Au ni tabia gani kutoka kwako huipendi na unajaribu kuiacha?
Kama ilivyo kawaida kwamba binadamu tupo tofauti socially, economically, physically, in religion na pia in cultural tupo tofauti. Kwa maana hiyo mionekano yetu inaweza ikasababisha mtu aijue tabia ya mtu fulani.
Kwa experience yako ni mavazi gani au muonekano upi humfanya mtu azijue tabia za...
Watu wengi wanasema maisha baada ya chuo huwa ni magumu sana kwasababu ule mzunguko wa kupata pesa kama kipindi mtu yupo chuo huwa ni mgumu.
Kwa experience yako unampa ushauri gani mtu ambae amemaliza chuo mwaka huu juzi juzi tu hapo afanye kitu gani ili kupambana na maisha ya kila siku?
vile...
Yani ukienda manispaa mpaka uhudumiwe unakua umepitia mengi sana. Leo nmeenda manispaa ya temeke yani unaslimia mtu kwa kumwangalia amekula chumvi nyingi sana lakini hataki shikamoo anataka mambo yan hawakusikilizi kwa wakati wanajivuta vuta.
Sasa nikaelekezwa kwa HR ni kijana ila anakera...
Hi
As thread said maisha ambayo fake life is so expensive kama kuna mtu anayaishi aachane nayo. Mpaka nimekuja kusema hiki kitu it means nina experience kwamba nishamuona mtu ana struggle kuishi yale maisha ya masupa staa na rich kid (wakishua) akati maisha ake ni ya kawaida sio mabaya sana...
Habari
Kama mnavyojua wasichana tunakuaga na marafiki wengi kipindi cha shule na sehemu nyingine mbali mbali. Kipindi niko o-level nlikua na marafiki ambao close kama wawili hivi sasa baada ya kumaliza form four wenzangu hawakuendelea na form six mmoja alitaka kuanza chuo na mwingine alikataa...
Hivi kwanini wanachuo wengi wanawachukuliwa kama wadangaji au malaya? Hii sio sawa. Jamii inatakiwa ielimishwe sio kila mwanachuo ni malaya. Ni hali tu ya kuwa smart na mavazi tu nothing else.
Habari,
Naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye experience au hata ambaye hana experience lakini maybe alisikia sehemu kuhusu field mkoa wa Dar es Salaam.
Mambo ninayohitaji kujua:
1: Ofisi zote ambazo mwanafunZi anaweza kufanya field. Private and public offices
2: Changamoto zinazotokea uko field
3...
Jamani nlikua nauliza maeneo gani hapa Dar wanajihusisha na kubadilisha keyboard za PC aina ya HP. Na inakua sh. ngapi?
Kwa yeyote anaejua aniambie na pia kama kuna chochote cha kuzungumza kuhusu kubadilisha keyboard maybe challenges zake mnieleze
Habari.
Uzi huu ni special kwa ajili ya kuwapa ushauri, ukumbusho, usia wadogo zenu wanaoenda vyuoni kumaliza semister kwa miezi 3na sio 4 tena.
Kwa jinsi gani wajiweke vyuoni, mienendo yao ya kila siku inshort Kipi kiongezeke na kipi kipungue ili kufikia lengo.
Wako mtiifu.
Muneera✨
Mi sijaona tofauti ya mzumbe
Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu.
Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam.
we unaonaje?
Atakae tukana automatically atakua insane and lunatic.CHILL
Boys ..
Yupi we una mfeel sana just be honest
Mwenye kalio kubwa sura mbaya au ya kawaida tu..au yule hana kalio (pasi)ila sura nzuri
Girls
Yupi we unampenda sana?
Kapuku ila anajua kufanya mapenzi vizuri mpaka unachanganyikiwa? Au yule handsome,ana hela ila kufanya mapenzi kawaidaa yaan..yupi...
Hivi kwann wanaume wakishindwa kazi kazi kwa bed huwa wanaona aibu? Lemme put it clear unakuta mtu eti yupo na gf wake then jissing and cuddling mpaka amedinda then hawezi sex mpaka aangalie porno ndo anapanda midadi zaidi eti😂😂..inakuaje yan
Ndo kuishiwa nguvu za kiume au
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.