Kwanza Kabisa mimi ni mshabiki wa Yanga, lakini kuna jambo moja linaweza kuonekana lipo vizuri lakini linakwaza. Nimeshalipia App ya Yanga Mara 3 lakin sipati access ya kusoma habari za yanga.
Kwa maana ya kwamba ukilipia bado ukiingia kwenye app haitambui malipo yako na bado itakudai ulipie...
Nimejaribu mara kadhaa kuomba loss report kwa ajili ya line ya simu lakin nikifika sehemu inayaotakiwa nipate kumbukumbu namba kwa ajili ya malipo namba hyo haiwekwi. Kama nilivoonesha kwa picha hapa chino.. Mwenye kujua kama kuna tatizo la kiufunid ama kuna mbinu.
Sent from my VTR-L29 using...
Nataka kuchoma nyama kwa ajili ya Familia lakin sijui pa kuanzia. Nadhan nikipata majibu ya maswali yangu ntajua cha kufanya.
A). Sehemu gani ya nyama ya ng'ombe ni tamu kwa kuichoma? Ili nikienda buchani niagize hyo.
B). Nitumie spice gani kwa ajili ya kulainisha nyama yangu?
C) .Nitumie...
Wandugu naomb mjihadahri na hawa watu. Hivi ni kwanini wabongo hatujifunzi tu?? Jaribu kuingia kw website yao ,halafu pima kama kuna ukweli.
Soma muongozo vizuri kabla ya kuchangia
Mfumo ni wakuchangiana wenyewe na mzunguko wa pesa ni ndani ya siku 4. Baada ya mzunguko wa siku 4 utapokea faida...
Wakuu,
nahitaji kujua nawapato vipi hawa jamaa, nimepata taarifa kuwa ukihitaji gesi ya Kupikia wanakufikishia popote Dar es salaam. Kama kuna mtu ana contacts Plz anisaidie.
Benki tatu hatarini kufungwa kutokana na mtikisiko wa uchumi
-Benki ya wanawake 'TWB'
-Ecobank Tanzania
-Efatha Bank
#MWANANCHI NEWSPAPER 4th May 2017
=======
Dar es Salaam. Hali ya mtikisiko wa uchumi uliozikumba taasisi nyingi, hasa za fedha sasa unazinyemelea benki tatu ambazo zinaweza...
Katika pita pita zangu mitandaoni nimekutana na hii Video ya Miss Tanzania. Kipindi ambapo anatafutwa miss kinondoni. Ni kweli alisema ana miaka 18 lakin hakusema kuwa ana degree. Zaid alichosema ni kuwa yeye ni Applicant wa IFM. Sasa sijajua hiz rumors zinatoka wapi. Please cheki hii video...
1. Sex doesn't keep a man, if you like, turn 360% on bed, he will still dump you. Bleach until you become white, if he doesn't notice the qualities of a wife in you, he will leave you.
2. A man who win your love with cash may not stay forever. Real men doesn't settle down with fake women who...
Naomba kuuliza wana jukwaa hili.
Je, Bima ya Afya ina cover ukihitaji kubadili meno na kuweka ya bandia? Ama ni hospitali zipi na kwa gharama zipi naweza pata huduma hii kwa Dar es salaam?
Naomba kuuliza wana jukwaa hilli.
Je Bima ya Afya ina cover ukihitaji kubadili meno na kuweka ya bandia?
Ama ni hospitali zipi na kwa gharama zipi naweza pata huduma hii kwa Dar es salaam?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.