Baada ya dosari za uchaguzi mkuu wa Kenya wa 2017, kiongozi wa upinzani alisusia uchaguzi wa marudio na kuanza ziara nje ya nchi akitafuta uungwaji mkono kutoka mataifa na mashirika ya nje.
Tarehe 17.11.2017 zaidi ya wafuasi walifika uwanja wa ndege wa Kenyata wakihimiza kuwa wamefika...
Tarehe 28/12/2019 niliandika kuhusu Mzee Mkapa kichwa Cha habari kikisema Nini maana ya Legacy? Niliandika naomba Kunukuu:-
"Natamani sana kujua wasaidizi wa Rais Mkapa alioingia nao madarakani 1995. Kama kuna mtu ameacha Legacy ya kutosha kwenye nchi hii japokuwa hatuoni kwa macho ya kawaida...
Kuanzia 2017 niliandika Sana kuhusu aina ya Viongozi tunaowahitaji. Makala zangu asilimia tisini nililenga kuandaa watu kutambua aina ya Viongozi Bora hata kwa kuiga Kutoka mataifa yaliyoendelea.
Kwa upande wangu nafikiri nilimaliza kabisa kila kitu katika kutoa Elimu ya Nini tufanye ili...
1. Vyama vya Upinzani nchini vina nafuu kubwa ya kulelea vijana na kuwafanya kuwa wanasiasa wakubwa mbeleni.
Ni rahisi sana kwa kijana ambaye hana fedha lakini yupo Smart kushinda Ubunge akiwa Upinzani kuliko kwenye chama chetu tawala.
Tuna mifano Halisi kabisa angalia Umri aliopata nao Ubunge...
Mkoa wa Kilimanjaro pekee una shule 66 za Advance yaani mara sita ya shule zote za Mkoa wa Mtwara na Geita ambayo mtwara inashika nafasi ya kwanza na Geita ya Tatu, Kilimanjro ina Shule za Advance zaidi ya mara nane ya shule zote Lindi na karibu mara tatu zaidi ya shule zote za Morogoro na mara...
Membe jana kachukua Form ya kugombea Urais toka kwenye chama Cha ACT. Kwa mbaali namuona ulimi wake ukiteleza akiwa jukwaani na kusema Mambo yasiyoeleweka. Nimkubushe kuwa:-
Sheria ya Usalama wa nchi namba 3 ya mwaka 1970 inakataza mambo mengi ambayo hayapaswi kufanywa na mtumishi wa Umma...
CCM mpya inapambana Sana kuua Upinzani nchini, huenda wakafanikiwa au wasifanikiwe lakini niwakumbushe tena kuwa Upinzani wa kweli haupo kwenye vyama Bali upo kwenye mioyo ya watu na kwa Sasa Upinzani wa kweli utajitokeza ndani ya CCM yaani itakuwa CCM vs CCM.
WOSIA KWA SERIKALI YA AWAMU YA...
Julai1, 2020 ni tarehe itakayobaki kwenye kumbukumbu kama siku ya kwanza ya kuanza kwa utekelezaji wa Bajeti ya tano na ya mwisho ya kumalizia miaka 5 ya kwanza ya awamu ya tano.
Siku ambayo Benki ya dunia ilitambua Tanzania kuwa nchi ya Uchumi wa kati, ikiwa ni miaka5 kabla ya kufikia mwaka...
Jumatano tarehe 1 Julai, 2020 Benki ya Dunia iliitangaza rasmi nchi ya Tanzania kuingia katika uchumi wa kati ikiwa ni miaka mitano kabla ya muda ambao Tanzania ilijipangia katika Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025
Hakika hii ni jambo la kufurahiwa na kila mtanzania kama alivyosema Rais wa Jamhuri...
Bado nafikiria kuhusu hekaya ya Mh Rais kuhusu Mwananzila. Kila mtendaji wa Serikali ninayemfikiria angeliisaidia Sana CC
M pale Bungeni kujenga hoja na kunusuru zile mbao za madesk ya binge yasichakae namkumbuka Mwananzila.
Baada ya kuandika kuhusu kiu yangu kwa Prof Kitila Mkumbo na Antony...
Nimemsikiliza Membe Sana Wiki hii, inaonyesha kapania kweli kweli kugombea. Analalamika Sana kuhusu kanuni za CCM, kuhusu Adhabu yake, kuhusu katiba ya nchi nakadhalika.
Huyu jamaa anaweza akawa na plan B ya Siasa na tunaweza kukutana na Surprise huko mbeleni.
Kuna uwezekano Membe akaangukia...
Mojawapo ya makosa makubwa ya Kampeni na uchaguzi duniani Kote Ni kumu-Underestimate opponent wako. Hili kosa huwa halifanyiki kwenye Siasa tu hata kwenye michezo na kwenye medani za kivita Ni kosa kuu Kati ya makosa makubwa yanayotajwa.
Kuelekea October kila mwana CCM anayezungumza anasema...
Well, kwa mara nyingine nimemsoma Mwanasiasa nguli wa Haki za CHADEMA ktk kivuli cha "Monrovian Uamsho" aliyekabidhi kikoba cha "injili" na "Theolojia" kwa Mbowe na kukumbatia "Unyumbu"....Huyu ni Kamanda Mwamakula, yeye anajaribu kulalamikia kufutiwa leseni kwa Gazeti la Tanzania Daima huku...
Kuelimisha ni jambo jema, na shabaha ya kuelimishana ni kusaidiana ktk kupata maarifa mbalimbali ili maarifa hayo yatusaidie kup
ata mwanga wa kuondoa giza la ujinga lililotamalaki vichwani mwetu.
Katika tabia za wanadamu, usije kuona aibu kuitwa mjinga, maana mjinga yuko tayari kujifunza na...
Kila chama kina malengo yake kwenye uchaguzi huu.
1. ACT Wazalendo Lengo lao kubwa ni kugawana majimbo na CCM Zanzibar. Hili asilimia za kufanikiwa ni asilimia 60% PLUS. Siasa za Zanzibar zilikuwa Ni za CCM VS CUF lakini CUF hii iwe chini ya Maalim Seif. Kwa hiyo Mambo yanavyooneka Ni kuwa CUF...
Leo DR Tulia ambaye Ni naibu Spika alikula Chakula Cha mchana kwa mamaNtilie Jijini Mb
eya. Kabla ya kuhitimisha vikao vya bunge alisema atagombea mwaka huu sisi HATUJUI ni Jimbo gani lakini niliwahi kuandika kuwa Sugu ASIMBEZE DR TULIA.... Niwakumbushe kidogo, bado msimamo wangu na analysis...
Labda niliseme hili kwa namna tofauti kuhusu Rais Wetu kufananishwa na Yesu. Sikutaka kabisa kulijadili Ila naona tunazidi kukosea.
1. Kichaa akichukua nguo zako ukiwa unaoga na ukaamua kukimbizana naye ukiwa uchi definitely wewe uliye uchi ndiye utakayeonekana kichaa zaidi yake. Nataka kusema...
Niliwahi kuandika kuhusu nia ya Lissu kuutaka Urais wa Tanzania 2020. Huenda
chama chake kikampitisha 2020 badala ya Msigwa. Huyu ni msomi mzuri, ni mwanaharakati na ni mpinzani haswa haswa. Kwa sifa hizo anatosha sana kupeperusha bendera za Chadema Kwa sasa.
TWENDE SAWA
Huyu hakuwahi kushika...
Binafsi naelewa hakuna Serikali yoyote duniani ambayo haitaki kuajiri vijana wake Kama fursa zipo. Kwa Tanzania ya Sasa budget zake toka 2016 asilimia nyingi ya fedha zinapelekwa kwenye miradi ya Maendeleo. Ndio maana tunaona miradi mingi mikubwa ikitelelezeka nchini. Tunachopaswa kukifanya Sasa...
I can't breath ni kauli ambayo Kama duru za kiusalama hazitacheza vizuri pale
Marekani inaweza kubadili mfumo wa kisiasa au kumuathiri Trump kisiasa kwenye uchaguzi ujao. Bado Hali ya hewa imechafuka mzimu wa George Floyd unataka kuitikisa Marekani. Mtu mmoja tu anayejulikana Kama Dereck...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.