Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu, kimfaacho mtu chake,. Shamba lina ukubwa wa eka 25, lipo mkuranga kilometer 10 kutoka barabara kuu ya Dar - Lindi. shamba bado virgin na mazao yaotao huko ni mengi ikiwemo mihogo, na mazao mengine ya mboga na matunda. Gari inafika shambani . kwa...
Habari za mshughuli wakuu, kwa kuwakilisha tu kama kuna mtu anashughulika na lorry za mchanga, kokoto na kadhalika maeneo ya mwasonga kigamboni aje hapa kuna kazi zinahitaji trip za mchanga (lorry aina ya kipisi) ndio priority. mwenye shughuli hii tafadhali tuwasiliane hapa ili apewe tenda. Site...
A modern 4 bedrooms, familly bungalow is available for rent from 1st of May 2018. it includes 1 masterbedroom and 3 other rooms with built in closets. a huge dining room, sitting room and top floor balkon with a nice view and fresh air. space for upto 4 cars parking. the house has its own clean...
A modern 4 bedrooms, familly bungalow is available for rent from 1st of June 2018. it includes 1 masterbedroom and 3 other rooms with built in closets. a huge dining room, sitting room and top floor balkon with a nice view and fresh air. space for upto 4 cars parking. the house has its own clean...
Angalia mkuu usije kupigwa mchanga wa macho . huku hamna kiwanja cha bei rahisi hivyo. Vilikuwepo vya 6000/= kwa sqm ila watu washabeba. sasa hivi bei ni elfu 10 hadi kumitano. na usikubali kuuziwa sehemu haina mipango miji yake na kuonyeshwa. Kama unataka viwanja Njoo ndugu tukuuzie ila bei sio...
Hiyo ni gas tu imepungua kama friji inafanya kazi kawaida ila haigandishi ni gas tu akajaze mtungi kitu na boksi. hapo utakuwa umemsadia kiufundi na sio mengine =D =D
ungefafanua ni maeneo gani mkuu ili kama ulipo mtu alichimbiwa maeneo hayo akushtue! gharama za kuchimba zinatofautiana sehemu na sehemu na pia kwa wataalamu wa kuchimba ukitaja ni maeneo gani unaweza kupata makadirio mpaka vipimo nya mita ngapi kwenda chini maeneo hayo! mimi nipo na mtu wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.