Mmmhh kumbe kusahau no ugonjwa hatari Sana kwa afya Bora ya aKiLi,Leo Hawa mashabiki wa uToPoLo ambao hawaishiwi viroja na vituko wamestaarabika,nasema hapana,nimashabiki wa timu gani pindi timu Yao ikipata suruhu kwenye mechi,wanakawaida ya kupita press ,na kusema wanaandamana kwenda kupelekA...
Udini ktk Taifa huru Tz,halikuja kwa bahati mbaya,Bali kulikuwA na mpango mkakati kabla ya Uhuru.Wewe jiulize imekuwaje huyu mtoto wa chifu wa wazanaki,kutaka kupewa na kuitwa MTAKATIFU na kanisa la Warumi,Kuna Mambo gani kawafanyia Warumi wa Tanganyika ,mpaka akapewa daraja la Mwenyeheri?
UtOPoLo dot com,wavivu wa kufikiri, wavivu wa kung'amua ukweli,wavivu wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati muhafaka, wamebaki kupiga blaablaaa mitandaoni.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wamesahau Juma Balinya,walimfanyia scauting na kwa mbwembwe nyingi akaja kutambulishwa kwenye tamasha Lao la KuBwA KuLiKo.Baada ya miezi isiyozidi mitatu.......
Fei Toto alisajiliwa na Singida utd,hamkuwa na FaRaNgA za kumsajili Fri,Bali mfia timu yenu aliwapa,Ni wapi mlimfanyia scouting Fei, achana na blaablaaa.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hata Show me the way alifanyiwa figisufigisu na refa,alipotaka kumtungua mnadaka mishale,msimu huu uToPoLo mnabebwa Sana.
Hivi zile kelele za Mashabiki wa UtOPoLo,kuwa marefa wote [emoji881], bodi ya ligi+Tff ni [emoji881][emoji881] damu,mbona hakuna kelele Wala malalamiko kulialia kutoka Utopolo. ? kulikoni?
Tatizo siyo kuvaa jezi yenye nembo ya ji es em,Bali tatizo kiwango Cha pesa ambacho [emoji881][emoji881][emoji881] anapata kwa kumtangaza ji es em, million 40/ kwa msimu mzima,[emoji881][emoji881][emoji881]wanagomea kiwango hicho Ni kidogo Sana kwa ukubwa wa [emoji881][emoji881][emoji881],mbali...
Hivi na wale wasiotaka kuvaa logo halisi ya mdhamini,wakaweka rangi wanayotaka wao,je wanauweza kuathirika na kushindwa kucheza gozi la ng'ombe,sababu tu wamevaa nembo na rangi halisi ya mdhamini?
Wadau wengi wa soka bongo,Wana Imani na kampuni za Azam media ni WaAdiLiFu na wakweli,siyo ile kampuni ya Ji_es_em hawana uhadilifu ktk soka letu la Bongo land.
Kanuni zaligi yetu hairusu,mechi za ligi kuu kuchezeshwa na waamuzi kutoka nje ya nchi.Kama utakumbuka Kuna wakati MaNaRa alitaka mechi za deby ya Tz ichezeshwe na waamuzi kutoka nje,na aliambiwa kanuni haziruhusu,tuwe wapole wale Mbeleko fc,Walalamishi fc, hawaishiwi viroja kuelekea...
Kuna wananchi wa JaNgWani,ambao taifa lao halijapata Uhuru kutoka kwenye utumwa wa kifikra,na pia Kuna Wananchi wa jamuhuri ya muungano Tz,ambao UtOPoLo wapo Tz[emoji1241][emoji1241][emoji1][emoji1][emoji1]
Kama huo mkataba unawahusu Tff na GsM, kwanini Sasa GSM wanajihita wadhamini wenza wa NBC PL?Kuna usiri gani mpaka wadau wasiujadili huo mkataba?au mkataba huo upo kwa ajili ya mAsLaHi binafsi ya gSm na siyo timu za premium ligi?
Umewai kujiuliza kwanini wanawake wengi Wana ViTaMbi?Nini kinacha ngia kuwa katka Hali hiyo ya ViTaMbi? Mfumo wao wameubadilisha,siku hizi nao wanatumia mAtAnGo ili wajitosheleze kwenye sita kwa sita,pia madawa yauzazi wa mpango kwa asilimia kubwa umechangia ,kuwaondolea ashki za mapenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.