Search results

  1. O

    Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

    Siasa maana yake si hasa "not really" Lakini ndio inayo tuamlia maisha yetu, Tanzania kazi tunayo. Kila siku bora ya jana, duh!!!!
  2. O

    Kwa mtazamo wangu, Amos Makalla ni Mkuu wa mkoa bora wa mwaka 2016

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya Bw. Amosi Makalla anatajwa kuwa ni mkuu wa mkoa bora kwa mwaka 2016. Ikumbukwe kuwa mkoa wa Mbeya ni moja ya mikoa yenye upinzani wa kisiasa wa hali ya juu na jiji la Mbeya pia linaongozwa na upinzani. Pamoja na kuwepo kwa hali hii amejitahidi sana kuwa neutral na...
  3. O

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    Saidia kujibu sasa,
  4. O

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    Usiwe mwepesi wa matusi,tunahitaji mawazo ya great thinkers nifahamishwe
  5. O

    Wabunge wa viti maalum

    Salaam wadau, Naombeni kufahamishwa ni namna gani wabunge wa viti maalum kwa kila chama wanavyopatikana.Pia na vigezo wanavyovitumia,asante.
  6. O

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    Salaam wadau, Naombeni kufahamishwa ni namna gani wabunge wa viti maalum kwa kila chama wanavyopatikana.Pia na vigezo wanavyovitumia,asante.
  7. O

    MkikiMkiki: Uliza swali lako mdahalo wa vyama vya siasa kuhusu uchumi

    Tumeshuhudia kudorora kwa shilingi Tanzania dhidi ya fedha za kigeni,moja ya sababu zinazo tolewa kuchangia kudorora huku ni pamoja na: 1. Nchi yetu kutegemea kuagiza bidhaa kutoka nje kuliko kuuza nje 2. Kutokuwepo kwa fedha za kigen za kutosha kwenye mzunguko 3. Baadhi ya wanasiasa kulaumiwa...
  8. O

    Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Hii ni kwa hisani ya blog ya habari247 Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM katika uchaguzi uliofanywa jana katika baadhi ya kata yameanza kutangazwa huku baadhi ya vigogo wakiangushwa vibaya. Baadhi ya majimbo ya Mkoa wa Dar es...
  9. O

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Leo Lowasa chadema watamsafishaje endapo atamua kujiunga chadema. sasa naanza kuamini maneno ya kibajaji kwamba kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu au adui wa kudumu
  10. O

    Mbatia liangalie hili suala kwa umakini

    Wakati wenzao wa chadema wakijenga chama vijijin wao wanapanga jinsi ya kunufaika na kubinga bingo tu,then wanataka usawa,wenzao wame invest sana,wasijilinganishe
  11. O

    CHADEMA: Msiichaguwe tena CCM mwaka huu

    Content ni nzur ila rekebisha title coz it us obvious chadema hawawez kushaur wananchi kuchagua ccm,hiyo sio habar,ingekuwa ni kinyume chake hapo ndipo ingekuwa habar.Jifunze kuandika title vizur za kuvutia,otherwise content iko vizur
  12. O

    Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

    Titus Kaman hata hajulikan alipo
  13. O

    Imefika wakati tuangalie na wasifu mke wa mtangaza nia

    Kumekuwa na taarifa mbalimbali za watangaza nia kuelekea uchaguz mkuu wa october,lakin nakuja taarifa zozote juu ya mke wa mtia nia husika. Naomba tukumbushane kuwa mke wa mtia nia,endapo mumewe atakuwa rais ndiye atakaye kuwa first lady na atakuwa na influence kubwa kwa mumewe ambaye ni rais...
  14. O

    Sehemu ya Hotuba Yangu ya Jana..."Fikiri Tofauti, Amua Mabadiliko Sasa"

    Mbona umekimbia mdahalo,unatuaibisha fans wako.
  15. O

    Watangaza nia wote wamekiuka Sheria ya Kudhibiti Gharama wakati wa uchaguzi

    Si wote,Bilali na Magufuli hawakuandaa burudani wala chakula,dont generalize.
  16. O

    Lowassa anaweza kusababisha mvutano baina ya vikao vya Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu

    Mchujo unaanzia kamati ya maadili,ambapo watabaki wagombea kumi,ndipo wapelekwe kamati kuu ambapo watabakishwa watano,then halmashauri kuu watabakiza watatu ambao watapelekwa mkutano mkuu na kumpta mmoja. Pia katka masuala ya kiuchaguzi si kwel kwamba kikao kimoja kinaweza kikabatilisha maamuzi...
Back
Top Bottom