Chuo kinatambulika ila wanachuo wamepewa BED na masomo mawili ya kufundishia wakati BED inatakiwa kuwa na somo moja la kufundishia.kama vp ingia kwenye web ya wizara hamna hata mwanachuo mmoja aliyepangwa kituo cha kazi.
Wanafunzi Zaidi ya 400 waliomaliza stashahada ya Elimu mwaka 2011 hawajapangwa ktk vituo vya kazi na serikali kutokana na digrii inayotolewa hapa chuoni kutotambuliwa na TCU.
Hivi huyo zito ni nani?mchukueni mtuachie chama chetu.hatupo CDM kwa sababu zito yupo.la hasha.tupo kwa ajili ya kuleta mageuzi ya kweli ktk nchi yetu.kama bado NCCR mnafikiria kuhusu siasa za kuhama vyama sidhan kama mtakua mmekomaa kisiasa.ila sishangai sana kwan naona laana aliyoiacha...
Hali n mbaya hadi mda huu.polis wameingia ndani ya chuo kuendeleza ubabe wao na wanachuo wamekataa kwenda kulala kwn wanadai msiban watu hawalalagi huwa wanakesha.hasira za wanachuo n kuwa polis walichelewa kuja kuchukua maiti barabaran kwn kituo cha polis na chuo n kama km 4 tu.hata polis wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.