Niko katika hitajio la simu ya samsung galaxy s6 (original+used).
.. iliyo katika hali nzuri ya kimuonekano.. any color will do..
BUDGET: 600K
LOCATION: Dsm n Dodoma..
Tafadhali nicheki inbox tuyajenge.
HILI SUALA LA MAKUNDI YENYE MFANANO WA PANYA ROAD YAPO KWELI DSM...
ni muda huu majira ya saa 11 ya jioni nimeshuhudia kundi la vijana zaidi ya ishirini limepita mtaani kwetu msasani-namanga limevamia na kupiga na kuibia watu .. MTAANI KWEUPE..
kumekuwa na makundi ya vijana wanaogawana...
in urgent need mwenye kuuza simu hizo .. zilizo katika hali nzuri kimuonekano bila kuwa na ubovu . tafadhali tufanye biashara..
price iwe fair kidogo jameni
Iam urgently looking for that gadget,iwe na hali nzuri kimuonekano mna isiwe mbovu tafadhali ikiwa inakubali line zote itakuwa poa zaidi.budget 80,000 cash in hand.
Kuna hii lumia 900.. blue in color. In excellent condition.. comes with the charger..
Gonga hii link kupata specifications: Nokia Lumia 900 - Full phone specifications
Price:440k NEGOTIABLE
Buyers just contact the seller directly through..
Ndugu zangu, kuna hivi vikundi vya jogging vinavyoibuka kila uchao.Kiukweli hivi vikundi kiafya vina faida mno na mara nyingi vikundi hivi hukimbia siku za Jumapili.
ILA SASA KUMEIBUKA WIMBI LA WEZI/VIBAKA NA WANYANG'ANYI KUPITIA MWAMVULI WA JOGGING "tena hawa utawaona hadi siku za kaz"...
gari inauzwa..
MODEL- Toyota Platz 2003
MODEL NUMBER- NCP12
COLOUR- light green
MILEAGE: 84534km
CC: 1500
PLATE NO:CNS
*BEI MIL6.5
.......those serious buyers mcheki muhusika kwa namba hii
jamani nna galaxy s2.... android version 2.3.6 nataka niipandishe kwenda jelly bean.... nimejaribu kies inaniletea tatizo la connection error..
2* hii simu ina android market ...how can i get playstore instead...
~~~~~maana nimeshindwa kuipata instagram
......cc chief-mkwawa
guys i'm in need of those galaxies...
1* nataka s2 yenye internal memory gb32
1*na yenye gb16
--------
ncheki pm tuongee biashara..
NB:mzigo uwe original n in mint condition...isiwe
imeandikwa tu ''made by samsung'' ispecify nchi
iliyotengenezwa...
Ahsanteni
guys i'm in need of those galaxies...
1* nataka s2 yenye internal memory gb32
1*na yenye gb16
--------
ncheki pm tuongee biashara..
NB:mzigo uwe original n in mint condition...isiwe imeandikwa tu ''made by samsung'' ispecify nchi iliyotengenezwa...
Ahsanteni
habari zenu wakuu... Nilikuwa naomba kwa mwenye nao au mwenye uwezekano wa kuupata,. "WARAKA UNAOMRUHUSU MTUMISHI WA UMMA KUJICHAGULIA CHAMA CHA WAFANYAKAZI AKITAKACHO"..kuna wadau tunataka kubadili chama cha wafanyakazi tumedaiwa waraka ''ofisi zetu hizi zenye viongozi primitive''.. Tafadhali...
MVULANA mmoja mwanafunzi wa shule
ya Sekondari Chief Senge mkoani Singida
anashikiliwa jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma ya kumlawiti mtoto wa
kiume mwenye umri wa miaka minne.
Mvulana huyo Ibrahim Saidi (17)
anayesoma kidato cha tatu katika
Sekondari hiyo anatuhumiwa kutenda
unyama...
kama kuna mwalimu wa sekondari unataka kuja dodoma mjini tafadhali niPM, uwe unatoka Morogoro manispaa/mjini, Kibaha au Dar es salaam..
Especially those newly recruited
nimeicopy kutoka sehemu......
TUME YA MH. PINDA INATIA WASIWASI Jana Mwenyekiti wa Tume hiyo, Profesa
Sifuni Mchome alidokeza baadhi ya
sababu zilizotolewa kwa wingi na wadau
wa elimu waliihojiwa mpaka sasa. Sababu hizo ni ukosefu wa walimu,
upungufu wa vitabu na mazingira duni ya...
habari wakuu... Ebwana haka kajisimu kangu ilikuwa ghafla tu camera ya nyuma inagoma kugonga picha... "'ni kwamba ukiclick camera icon inafunguka na kubakisha rangi nyeusi tupu bila lens ya camera kuonekana''' nimegoogle nikagundua ni tatizo la hizi simu ila sijapata exact solution ya hili...
habari wakuu,.. Mwenye nokia n8 iliyo in mint condition ''with no scratches on it's screen'',..
Nahitaji kununua hiyo simu jameni...
*my budget is 250k.....PM me please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.