Achukue huu ushauri hasa hapo kwenye kuimega safari vipande viwili, na kwa kituo atakachoamua kulala (nashauri dodoma/morogoro kokote ambapo ataliwahi giza kulingana na mwendo wake) ASUBUHI KABLA HAJAWASHA GARI KITU CHA KWANZA AKAGUE REJETA (COOLANT/AU KAMA MZEE WA MAJI) aangalie kama imepungua...
Usiongee usichokijua.. tena uache kupotosha... tupo tuliomaliza kulipa miaka ya nyuma huko na hata hiyo tuliyolipa tulishawekewa cha juu nje ya kiasi kilichokopeshwa na mwaka jana tukabandikwa madeni mapya makubwa ambayo hayana justification yenye logic yoyote..
KAMA HAUJAFIKWA USIPOTOSHE...
kabla ya kutoka omba dua...
njiani usishindane na mtu... run at a controllable speed of about 80 hadi 100 panaporuhusu...
usiovertake hovyo hasa kitonga, jipe vituo kadhaa vya kusimama kushuka kunyoosha mgongo.. usishindilie vyakula vizito vinatia uchovu na usingizi...
beba kichupa chako cha...
huko hutakuwa na matumizi makubwa ya fedha, ukiwa na nidhamu ya kuweka akiba na kujizuia anasa.. kwa mwezi hifadhi 370k.. ndani ya miezi 24 utakuwa na pesa kadhaa unazoweza kuamua kufanya biashara nyingine
Nenda settings. Then about phone, katafute sehemu imeandikwa built in number, ibonyebonye mara kadhaa mfululizo itakuprompt kuwa uko seconds away kuwa developer, endelea kubonya itakwambia you are now a developer..
Rudi nyuma, utakuja kuona developer options,click then tafuta USB DEBUGGING...
Unawasifia hao jamaa walioshindwa kwenda kuujaza uwanja katika sikukuu yao, ambapo wangetunisha mapato ya klabu yao moja kwa moja na sasa wanapeleka pesa Rwanda na wakodisha magari!
Mimi sina starlet ila it is very ironic huna hata hiyo starlet halafu unamdharau mwenye nayo... The most funny part is, vipi wewe unachukuliwa kwa heshima kwenye hiyo jamii inayomdharau mwenye starlet nawe hata hiyo huna...
Wakati wewe usiye na gari unadefine kuwa na gari lengo ni kuvimba...
Mwenye starlet hana hii adha, yeye angejipitia zake anacruise huku kaweka kishoka anapiga mluzi na akiwa na uhakika wa kutochomolewa wallet au simu mfukoni. BTW mtoa umesema bado hujafanikiwa kumiliki yako eenh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.