duu! ila ndo ndoa za kisasa zinavyoendeshwa inauma lakin no way out, huwezi mtambua mtu ka kumwangalia tu. Unamsamehe madam alishajua uchafu wake umejulikana kama ana akili timamu atajirekebisha.
Mhh! unawashauri ambao hawajaingia kwenye ndoa wasiingie! unataka kutwambia baada ya kuachana na huyo bibie utaishi pekee milele! pole lakini mshirikishe Mungu anaweza kukusaidia katika hili pia.
He!!! kwani huyo mke wanaenda kuishi nao wao au wewe!! makabila mengine bwana! na kwa taarifa yako badilisha eti ka saabu ya ukabila uone utakavyojuta maisha yako yote.
mijianaume mingine bwana!!! halafu mijitu kama wewe ndo badae huwa mnaaribu ndoa za wapenzi wenu wa zamani kwa sababu zisizo za msingi kama hizi!maana yakisha wakuta mnakuja na mimachozi mnamwaga beseni linajaa eti hamkujua! pumbavu zenu wanaume wote wenye tabia kama hizi! hivi unajua huyo mamaa...
mijianaume mingine bwana!!! halafu mijitu kama wewe ndo badae huwa mnaaribu ndo za wapenzi wenu wa zamani kwa sababu zisizo za msingi kama hizi!maana yakisha wakuta mnakuja na mimachozi mnamwaga beseni linajaa eti hamkujua! pumbavu zenu wanaumw wote wenye tabia kama hizi! hivi unajua huyo mamaa...
Pole sana kaka, hayo mambo yapo sana tu, mimi mwenyewe niliwahi kuathirika kama wewe. sikutamani kupenda tena wala sikujua kama anaweza kutokea wa kumpenda. lakini Mungu ni mwema alinipatia yule aliyenichagulia na si mimi niliyemchagua. hakuwa riziki yako mkabidhi MUngu muda ukifika atakupatia...
Mh. Asante kwa taarifa hiyo. sikuweza kukuPM kama ulivyoeleza kwa sababu zilizo juu ya uwezo wangu. nimekutumia details zangu kupitia email yako. Samahani kwa usumbufu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.