Ndugu Allen sipo kwenye koma na sijawai kuwa huko, Mungu epusha mbali, nipo vizuri, " Upigaji upo na upo kweli kweli" lkn sio Manifesto ya Chama, huo ni ugonjwa unaohitaji tiba, Japo zama zimebadilika kiuchumi na kisiasa, lkn bado fikra za kijamaa na Ukulima zinaishi miongoni mwa Watanzania.
Ndugu Allen unyangau na ulafi wa Mali za umma ni hulka ya mtu, inawezekana wahuni wanatumia nembo ya CCM kama kichaka cha kuficha maovu yao binafsi, Sidhani kama miiko, na miongozo ya CCM inahalalisha "Ufisadi na Uzandiki".
CCM ni ya Wajamaa na Wakulima, endapo wapo wahuni ndani ya Chama ni...
Salaam ndugu, Ndani ya CCM wapo wasafi pengine kuliko unavyofikri, wenye tabia za uzandiki, ufisadi, umalaya na wizi ni matokeo ya malezi na makuzi yao, Mifumo na itikadi za CCM hazizalishi product ya "wanyanganyi na manyangau wa kuhujumu taifa hili" Taifa hili tunalo ombwe la uaminifu katika...
Salaam ndugu Ujamaa, "Umangungo ni nadharia tu usihofu" hoja ni amendment za vifungu gani zilifanyika baada ya Mjadala wa DPW bungeni, Je wangapi walijikita kujadili Mkataba na vifungu vyake pasee? Muda wa ukusanyaji wa maoni hata wiki ilifika? Tusipuuze kelele na kukebei wanao hoji, Wana kitu...
Ndugu yangu involved, umenilisha maneno, Binafsi sina chuki na DP World, nina Imani pia asilimia kubwa ya Watanzania hawana chuki na Mwarabu, hofu ya mantiki ni "Yatokanayo na Mkataba dhidi ya serikali na DPW" kudo's umenena vyema juu ya historia ya ujio wa dini, lkn tujiepushe na munkali wa...
Ndugu FaizaFoxy, Karne hii hatuwezi kulaumu tena Mkoloni Wala mifumo yake, bali Umaskini wa mtu mweusi ni akili yake mwenyewe, Imagine taifa Dogo kama Denmark kutoa msaada kwa nchi kama DRC-Congo yenye Kila aina ya utajiri wa rasilimali, unafikri tatizo ni ukoloni?
Salaam ndugu Paskali, Asante kwa muhtasari huu, Ubinafsishaji sio dhambi, bali ni kiini na kichocheo cha Uchumi wa taifa, tafsiri ovu ya Ubinafsishaji Kwa Africa ni mikataba ya "kikupe" unyonyaji, Kelele zinazoendelea mitaani sasa ni matokeo ya historia dhidi ya mikataba mibovu Kwa Africa, Je...
Salaam John, Dokezo; Si wanahabari wote ni Wana CCM, la hasha! ndani ya tasnia wapo wapinzani, Wana CCM na wasio na vyama,
Salaam John, Dokezo; sio wanahabari wote ni Wana CCM, la hasha! ndani ya tasnia wapo wapinzani, Wana CCM na wasio na chama, hivo hitimisho la wote si sahihi, content...
Nyakati za utotoni au ujanani zimejaa mapito na madhira mengi sana, tukifukua makaburi ya enzi hizo, hakuna aliye salama, labda mwenye vinasaba na malaika.
M
Mkuu USSR, naomba nitie neno; Makatibu Muhtasi Wana umoja wao maarufu kama TaPSea, Wana utaratibu wa kukutana Kila mwaka na uwezeshwa kifedha, Mwaka jana walikutana Morogoro, na mwaka huu wamekutana Zanzibar, na ombi lao waliomba Rais afunge semina Yao, na Kila mwisho wa semina Wana utaratibu...
Salaam, Wana JamiiForums, Kwa kuwa Jamii Forums ni Jukwaa lenye wasomi, wanazuoni na nguli wabobevu katika sheria na Katiba na mambo mengi ya Kijamii, kisiasa na kiutamaduni.
Napendekeza uwepo utaratibu maalumu wa Jukwaa hili kuwasilisha maoni yetu kuhusiana na Katiba pendekezwa, na hatimaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.