Angalieni picha ya ukatili uliofanywa na polisi wakati wakiwatuliza wananchi waliovamia nyumba ya mfanya biashara mmoja juzi Iringa. Haki za binadamu sijui wako wapi?polisi-ukatili.wmv
Hata nyerere na wafuasi wake walipokuwa wanadai uhuru wale waliokuwa wanakula chapati kwa wazungu waliwaona wanaharakati ni wajinga,ndivyo ilivyo kwa hawa vijana mnawaona wajinga lakini baadae wataitwa wateule wa ukombozi mpya wa tanzania.
sasa kama wenye akili walikuwepo na hawakwenda kutetea ubora wa chuo chao sisi tutapima vipi ubora wa hicho chuo unachokisifia.mimi naona mkubali tu,ud limebaki jina tu,lakini kuhusu ubora wa taaluma,wanaohitimu hapo wanaishia na chawa kichwani.
Nimeumizwa na kitendo cha serikali kuwabomolea wananchi jumbazao huko dodoma eti kumpisha mwekezaji.Nimemsikia mama mmoja kwenye taarifa ya habari ya ITV akilia baada ya nyumba yake kuvunjwa huku akisema amani Tanzania haipo.Hii inamaana gani?
kwamtazamo wangu chuo bora hapa bongo hakuna.Chuo ambacho kinaweza kuwa bora angalau ni mzumbe, nasema hayo kwa kuangalia mashindano ya Zain Africa challenge Universities .Mzumbe angalau kilifurukuta, lakini udsm ni viroboto tu. habari ndi hiyo.
Lowassa kama angekuwa chama kingine cha siasa angetufaa, lakini kwa chama hichohicho kilichomtosa, hawezi kuwa kiongozi bora kwasababu ccm wameshaozea kula nyama za watu na yeye Lawassa atakuwa hivyohivyo, labda aanzishe chama chake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.