We mkenya ni Psychopath.
Hujui maisha wanayoishi wapalestina ambao kosa lao ni kuzaliwa Palestina
Udini ni janga kubwa kama ulivyo Ukimwi au mimba za utotoni
Kwa hali ya sasa ya mambo hata Trump hawezi, vyama viwili vya Marekani siku zote huwa vina agenda moja (Ruling elites ni wale wale) tofauti huwa ni strategies
Trump na timu yake lengo lao lilikua ni kuweka urafiki na Russia, kutumia huo urafiki (fake) kuwatenganisha na China, ndio maana sera...
Hapo tayari unakua na access ya hio account, mwanafunzi mwenyewe hawezi tena kuipata
So unaweza mchagulia course au tahasusi bila yeye kujua chochote, yeye hawezi tena kuipata
Hata nikifanya nitakwambia? Halafu issue niliyo point inawezwa fanywa na yoyote mpaka nimeandika hapa ni kitu ambacho nishafanya, mtu ambaye hausiki na account ya mwanafunzi anaweza pata access ya hio account yake kwa kuweka hizo details hapo ambazo ni rahisi kupatikana, mfano mwaka unaweza hata...
Moja kati ya misingi mitatu ya usalama wa mifumo ya TEHAMA (System security) ni Confidentiality.
Hakikisha zile taarifa nyeti zipo mikononi mwa watu walioidhinishwa (Authorized users) na si vinginevyo.
Kwenye mfumo wa tamisemi unaoruhusu wanafunzi kubadili tahasusi zao, hivi ndio vigezo...
DRC inabidi isukwe upya, moyo wangu upo kwa wakongomani watakaozidi kufa na kuteseka mda wote huo kwasababu inachukua vizazi na vizazi kujenga nchi hata karne kama hamna jitihada binafsi
Hebu tushiriki mimi na wewe kwenye hili jaribio la kufikirika,
Assume, umekaa tu nayako, halafu nikaja mimi, nikakwambia kuwa nimekuja na habari ya Mungu wa kweli anaitwa "Kekova" , nikasoma kitabu cha kwanza kwenye vitabu 12 alivyonipa Kekova kwenye mlima Kilimanjaro
Aya inasema "Hapo mwanzo...
Wenda hujaelewa hoja,
Factor kubwa iliyofanya na inayofanya watu wawe waumini wa dini fulani ni Jiografia na sio critical analysis unayosema hapa
Majority ya watoto tayari wanapokea dini za wazazi wao hata kabla hawajafikia umri wa kuchanganua mambo, mda gani wanafanya critical analysis ya dini...
Lete ushahidi wa kihistoria kuwa Ibrahim ni "binadamu halisi" aliyewahi kuishi
Lete ushahidi wa kihistoria na kijiografia kuwa "Gharika" iliwahi tokea, Nuhu alikua mtu halisi, na viumbe vyote duniani vilivyopo sasa vilitosha kwenye hio Safina ndogo kuliko boat za Azam
Lete Ushahidi wa...
Sababu ya mtu kuwa mkristo au muislamu ni sababu ile ile inayofanya mtu azungumze kiswahili au kifaransa
Jiografia.
99.99% ya wakristo, ni wakristo kwasababu wamezaliwa na kulelewa kwenye familia za kikristo, wamekabidhiwa dini na kuambiwa huu ni ukweli, kisha nao wakaipokea kama ilivyo, ni...
Hakuna usawa cause wao wana unda high value products wakati sisi tumebaki na low value products
Saa ni high end product ukilinganisha na karanga, haijalishi karanga ni muhimu kiasi gani kwenye mwili wako
Kwenye hii dunia tunayoishi, kwenye hizi zama za Utandawazi na Ubepari, bila kufanya...
Kuna watu hawaelewi, Ukraine ishapigwa, kushindwa vita kunajulikana mapema
Hitler na majeshi yake walijua kabisa miaka 2 kabla kuwa tayari washashindwa
Maelfu ya wanajeshi wa Ukraine wanauliwa kila siku, issue sio tena silaha, issue ni man power, hakuna watu wa kufanya tena offensive Ukraine...
Unauliza kuhusu Ukraine? NATO wanampango wa kuingia rasmi baada ya kuona Ukraine inazidi kuteketeza wanajeshi Plus vikwazo vyao vyote ya uchumi, mabilioni ya dola kama mkopo / aid kwenda Ukraine, silaha, planning, intelligence ku fail
Ku avoid hii aibu ya efforts za nchi takribani 30 kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.