Search results

  1. B

    Hii ni shida inaweza kuwa shida gani?

    Nimewahi kuwa na vidonda vya turbo mkuu. Kesho nitaenda kucheki tena kama ndio vyenyewe.
  2. B

    Hii ni shida inaweza kuwa shida gani?

    Nashukuru sana mkuu. Nimewahi kuwa na kesi hii ya vidonda ila nilipona. Sasa sijajua kama inaweza jirudia. Ntafanya hivyo mkuu.
  3. B

    Hii ni shida inaweza kuwa shida gani?

    Ni takribani wiki sasa napitia hii changamoto ya kiafya. Upande wa kushoto kifuani(Kwenye moyo) nahisi maumivu hasa baada ya kuvuta hewa. Kuna dalili kama kichefuchefu na uchovu viliambatana Hii unitokea hasa hasa wakati wa usiku. Mchana mara chache sana hasa nikiwa na njaa. Kabla ya...
  4. B

    Utafiti: Kuzaa Watoto mara nyingi (Watatu na Zaidi) kunaweza kusababisha Saratani ya Mlango wa Kizazi

    Magonjwa yapo tu...kuzaa watu wazae. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  5. B

    Umoja wetu ndiyo nguvu yetu

    Ukoo wetu hauna dini moja. Kuna Wakristo na kuna Waislamu. Kuna wengine hawana dini kabisa. Ila some tunachangia mababu. Na tunapendana. Siwachukii Waislamu kwa kuwa mimi ni Mkristo. Siwachukii wakatoriki kwa kuwa mimi ni Mlutheri. Kuna wanasiasa wenye nia ovu hasa hasa kutoka Chama cha...
  6. B

    Mkataba urekebishwe, maisha yaendelee, watanzania ni wamoja

    Mkataba una mapungufu mengi sana. Serikali ikae nq wataalam wa mikataba ya uwekezaji wenye uzalendo wa juu. Wapitie vifungu tata...virekebishwe na uletwe tena bungeni kupitiwa na kupitishwa. Si uungwana kuchanganya siasa na dini. Madhara yake ni makubwa sana. Waprotestanti, Wakatoriki na...
  7. B

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima. Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  8. B

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Hakuna anaebisha kuwa mkataba wa DP World na Tanzania ni mbovu. Wanaharakati wameweka bayana na sisi tusio wanasheria tumeelewa. Hilo ni jambo jema. Shida inakuja pale Taasisi moja ya dini inajiona yenyewe ndio inaweza kuamua na kusemea taasisi zingine. That's stupidity! Tanzania ni ya wote...
  9. B

    Wanaosema Wasukuma ni Wakarimu, wana upendo halafu muda huo huo wanapenda ushirikina na Uchawi, hawajui kile wanachokisema

    Rudisheni bandari zetu. Mada za kijinga hatutaki sikia. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  10. B

    Sakata la Bandari: Serikali imepoteza mvuto na imani ya wananchi?

    Binafsi huwa nashindwa kuwaelewa watu wenye nafasi zao kwenye jamii ya Watanzania. Hasa hasa wasanii, kwanini mnakubali kutumika kusahaulisha watu kufatilia suala la msingi la mikataba mibovu inayotufanya tuwe watumwa sisi na vizazi vyetu kwenye nchi yetu wenyewe. Kwani nyie hamna Watoto au...
  11. B

    Awamu ya Sita Watu wanajenga, mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni

    Kwani awamu ipi hawakujenga? Nani huyo mnyonge? Akili zako hazipo sawa
  12. B

    Rais Samia atoa Milioni 2 kwa anayekumbatia Watoto hospitali ya Amana

    Wanapambana kuzima issue ya bandari Kwamba watanzania ni watu wa huruma sana. Tunataka bandari zetu.
  13. B

    Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

    Nimeanza kazi mwaka 1960, niliajiliwa Bodyguard wa Governor nilikuwa nalipwa USD 2000. Nilikuwa namzidi baba yangu mshahara. Alikuwa ananishangaa sana.
  14. B

    Figisu kuzima issue ya Bandari

    Kwa hili hatupotayari tutapiga kelele tuwezavyo.
  15. B

    Figisu kuzima issue ya Bandari

    Tunaojitambua tupo wachache sana. Watanzania wenzetu wengi bado hawajui hta katuba ina umuhimu gani. Tuliopata bahati ya kujielewa tuoisaidieni taifa.
  16. B

    Figisu kuzima issue ya Bandari

    Ndugu zangu watanzania hasahasa Watanganyika wenzangu. Suala la bandari msilichukulie poa. Baada ya miaka 60 humu wote hatutakuwepo ila wanetu na wajukuu zetu watakuwepo. Ebu fikiria wanetu waanze kuwa watumwa tena wa Warabu au wazungu, hvi watatuelewaje? Hii issue sio ya chadema au ya Silaa...
  17. B

    DOKEZO Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea

    Hatutaki mkataba wa DP world. Yunataka bandari zetu. Nchi nzima inazungumzia mwanafunzi kupotea...kwani ni mara ya kwanza kwenye nchi hii? Watanzania nawasanua amukeni. Daini bandari!
Back
Top Bottom