Asiwadharau wasomi,kwani hata yeye anawategemea wasomi,kama wote tungetegea na kuishia darasa la Saba? Hao madaktari wa kutibu watu wangetoka wapi wahandisi na wataalamu mbalimbali wangetoka wapi
Uko sahihi kabisaYuda hakujus SAA hii ya Yesu kusulibiwa ilishatimia, loss la Yuda siyo kumsaliti Yesu, Bali kosa lake kubwa ni kujinyonga, alikuwa na nafasi ya kutubu na kusamehewa kama akina Petro
Hii ni kuonyesha namna gani dunia yetu ipo ukingoni kabisa,wenye hekima wote wanajua muda uliobaki ni mdogo Sana,hatuna miaka mingi kabla muhukumu ulimwengu huu ambaye ni YESU Kristo mwenyewe kuonekana katika mawingu,kama vile watu wa Galilaya walivyoambia Mndo1:9_10, huyu YESU mnayemuona...
Hebu tumuache John Pombe Magufuli apumzike, yako mengi mazuri aliyoifanyia watanzania,mnyonge mnyongeni haki yake mpatien Magufuli watanzania wanyonge tunakukumbuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.