Inamaana Udom inawalimu wachache kwenye tasnia ya sheria kuliko Tudarco?
Na ukaribu wa Law school, unachangia materials, je materials za law school zinatumika na undergraduate?
Wakuu habari zenu!
Sina nia ya kutambishiana wala kuleta majivuni, HAPANA!
Ningependa kufahamu kwa uzoefu wenu hususani mambo ya fani ya sheria.
Je, ikatokea umepata LLB kwenye Chuo cha UDOM na Tumaini(Dar), Ungeenda wapi? Na ni sababu gani ungeangalia kufanya maamuzi?
Natumai mtanipa ujuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.