Kiukweli kwa kule zanzibar kuna matamasha ya kiutamaduni maarafu na yote ni matamasha yapo east coast, huko east cost ndio unapata kizimkazi,makunduchi,paje,michamvi,jambiani n.k.
Kati ya hizi pwani za east coast, tamasha maarufu zaidi ni tamasha la makunduchi( nafikiri wenyewe wanaita tamasha...
Ndugu yangu GENTAMYCINE wewe unakuwa kama mgeni wa wanasiasa. Wanasiasa hawaoni shida wengine wote kujichelewesha ili kiongozi ashinde na kupata ujiko [emoji3][emoji3],mbaya zaidi mwanasiasa mwenyewe wa ccm.
Mimi bado siamini kama matokeo hayakuwa ya mchongo.
Habari wako ndugu yangu Mohamed Said,
Naomba unifahamishe, huu ukumbi wa Atnautoglo upo wapi huu kwasasa ? Au ndio atnautoglo uliopo karibu na hospital ya mnazi mmoja?
Kipindi chadema wanahamasisha watu waandamane, wadai katiba mpya,wadai uchaguzi kudhurumiwa wewe ulikuwa wapi? Ulishawai hata siku moja kuwa nao pamoja?? Wote mulikuwa munamshabia JMP na chama chake! Sheria mbovu zinapitishwa na matamko kutolewa wote mulikuwa mupo pamoja na watawala kipindi...
Sasa mzee umesemq vizuri kabisa historia ya uturuki,sasa inashida gani mtanzania kuona?? Nachokiona mimi ni ukristo wako unakusumbua tu,huna cha zaidi chochote kile.
Hizi filamu za mapanga za hapa nchini zimeanza kuoneshwa miaka mingi sana kwa mfano za kikorea na za kichina kwa television za...
Taarifa ya ikulu ipo sawa kwa upande wangu ila uelewa wa watu wengi umekuwa tofauti kidogo kwenye hii issue ya ongezeko la mshahara.
Taarifa inasema wazi kabisa,ongeza la 23.3% kwa watu wa kima cha chini,na wengine wameongezezwa pia ila hawajasema wazi wazi wameongezewa kwa asilimia ngapi...
Pole sana ndugu Sah_zeer96,
Kwanza hujatuambia kwasasa degree yako unasoma chuo gani.
Twende kwenye mada yako,kitu ambacho unachokiona sasa, hiko ni kitu ambacho kipo kwa vyuo vyote vya bongo. Waliosoma vyuo vyetu vya hapa TZ zaidi ya asilimia 80 wamewai kuona au kuhisi hali kama yako...
Kinachotokea ni sawa na wewe unanunua unga kwa mangi kilo 1 kwa 1,000 then unagombana na Mangi halafu unaenda kununua duka la mbali kabisa kwa kilo 1 ileile kwa 5,000. Sasa hapo nani anapata hasara kati ya Mangi na wewe??.
Maneno uliyoandika wewe ndio propaganda zinatumiwa na pro usa..hivyo unajua vita vya iraq USA PLUS NATO walitumia muda gani kumaliza hii vita? Unafahamu kwamba kilomita za mraba za iraq ni 438K na UKRAINE 630K? hivyo unafahamu kama ukraine compared iraq, ukraine ipo advanced kijeshi na hata...
Mpaka sasa kwenye hii kesi serikali hawana chochote cha kuthibitisha kama Mh.Mbowe na wenzio wamefanya haya makosa.
Ninachokiona hapo,hii kesi wameamua ichukue muda mrefu kwa maslahi yao binafsi kama vile washtakiwa wakae ndani muda mrefu au upande wa utetezi waendelee kupiga pesa ya posho...
Sababu kubwa maaskari wa vyeo vya juu wanaishi kama wafalme, mara nyingi serikali iliyokuwepo madarakani wanawakumbatia i.e. nyumba bure,gari bure, elimu watoto bure na hata wakistaafu bonus zinaendelea kutiririka tu,kwa mazingira hayo wao wanaogopa zaidi mabadiriko au hawana mpango wa...
Mkuu pole sana kwa majanga uliyopata.
Hii kitu hata mimi ilishawai nitokea,mpaka sasa mwaka 1 umepita angalau extension yangu ilikuwa ni tofauti na hii yako.
Kazi yangu ilikuwa ni IT sehemu fulani hivi, sasa hapo kuna shared documents nyingi zinatoka sehemu moja,siku 1 majaa walinikamata kama...
Kwani wewe unajua ilo tangazo lamitoka lini au mwaka gani?? Inawezekana sheria ilitungwa hata miaka mi3 nyuma ila utekelezaji unatakiwa kuanza msimu huu. Kama mikia wenyewe hawajisomei sheria mpya zinapotungwa,unataka CAF wawasaidie nini hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.