Eti hawa ndio tuliowapa dhamana ya kulinda rasilimali za nchi. ww kiongozi unamkamata mwizi unamwachia unarudi tena kutamba kwa walio kupa dhamana hiyo. shame
Mahali popote penye WATAWALA patakuwa shwari tu kama WATAWALIWA watakubali kutawaliwa. Ikitokea wakapinga kutawaliwa basi wataitwa kila aina ya majina kama WAHAINI, WANAHARAKATI, WASIOPENDA AMANI etc.
Hizi mnaziita fujo lakini ni harakati za kupinga kutawaliwa. Wananchi wanahitaji kuongozwa sio...
Mimi sioni hata haja ya wabunge wa upinzani kuwepo bungeni kwani Bunge la huyu mama ni kama Kikao cha chama kujadili sera za chama ilimradi tu linaitwa bunge. Bunge gani linashindwa kutekeleza wajibu wake kwa wananchi. Watoto wanafail, kila kitu kinapanda maisha magumu rushwa inaongezeka eti...
Thatha, ulichokiandika hiki ndio msingi wenyewe wa sera hii " Kutakuwa na serikali kuu ambayo itakuwa na wajibu wa kushughulikia masuala ya kitaifa ikiwa ni pamoja na ulinzi na usalama sambamba na ushirikiano wa kimataifa. Aidha, kutakuwa na serikali za majimbo ambazo zitakuwa na jukumu la...
Rais anawalaumu wanasiasa ! Kila sehemu ni kulaumu tu. Acha lawama fanya kazi wewe ndo umeshika mpini. Kwani Rais sio mwanasiasa mbona ni wale wale kundi moja.
Vizuri chama kina ujanja, wanachama wake ni wajanja, Nchi ni ya ujanja ujanja tu. Hebu jaribu kufikiri nje ya CCM USILIMIT Fikra zako au unafaidika na kuwepo hapo
Ukweli ni kwamba hiki ni chama cha wapiga dili. Nchi haiwezi kuendelea kwa kuungaunga na kutoa data za uongo. Hapa walipotufikisha panatosha tunahitaji mawazo chanya yenye kufikiri nje ya ilani ya chama. Tunahitaji kiongozi mwenye nia ya dhati ya kututoa hapa tulipo. Huyu huwezi kumpata ndani ya...
Ahsante mzee mwanakijiji kwa swali hili zuri.
CCM imepoteza mwelekeo haina vision leo hii Tanzania hatujui tunaelekea wapi na tutafika lini na tutafikaje hii yote ni sababu ya CCM. Wangekuwa na nia ya kweli ya kulinda na kusimamia rasillimali ya Nchi positively hiyo miaka 50 tungekuwa mbali...
Nahisi itabidi Mode aanzishe jukwaa la "TANZANIA TUITAKAYO". Haya ndio mambo muhimu ya kujadili hapa jamvini sio kutumika tu kisiasa. Si kwamba watanzania wote ni wanasiasa
Hii ni bonge la wazo. Tujenge Tanzania sio vyama. kwa wenzetu Taifa kwanza vyama baadae. Tanzania ni chama kwanza Taifa baadae. wasi wasi wangu sijui kama CCM watakubali kwani kwao huu ndio mtaji.
Hivi tunahitaji mtu ambaye hatoi au kupokea rushwa ili aje akemee rushwa ndani ya Nchi. yupo kweli sina uhakika.
Rushwa Tanzania ni mfumo ambao uko ndani ya CCM na ili kuudhoofisha ni kujitoa CCM au Kuiondoa CCM madarakani. Hakuna mwanaccm ambaye anaweza kukemea rushwa akiwa ndani ya CCM huo ni...
Yani hiki kitu mi ndo ananiuzi huyu jamaa. Huwa na mkubali lakini inapofikia kusifia ombaomba ananiuzi kweli.
Wanashindwa kujenga nchi yako kwa rasilimali ulizonazo unakalia kuomba omba tu halafu unajisifia
Nape ukimvua nguo ya CCM ukamvalisha ya CCJ au Chadema ukumpa jimbo agombee atapoteza kwa sababu hakubaliki kihivyo kama yeye anavyohisi. kinachombeba Nape ni CCM nje ya hapo hana chake.
Mnyika anajiuza hategemei chama kupata jimbo. Siku Nape akigombea halafu wakazuia wizi wa kura hakika Nape...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.