Tapeli lako limekwisha,za mwizi ni 40 na zimetimia tayari, mwendo wa kuelekea gerezani amesha uanzaa kule police, akitoka police jalada lake linakwenda kwa DPP, DPP nae atalisogeza mahakamani, Mahakama nayo itawapelekea Magereza ili Tapeli lako lihifadhiwe huko! Na huo ndiyo mnyororo wa haki...
Hivi wwe na DPP nani anajua sheria zaidi, makosa yote ya kijinai yanapelekwa mahakamani na office ya Taifa ya mashitaka, na taratibu zote za.kisheria wanazijua usijali, wwe tafuta nukta ya kumtetea Tapeli wako mahakamani!!
Jamaa akili zake sijui zikoje, kwa hiyo anataka Waziri amwage ushahidi wake wote kwenye mtandao, mtuhumiwa kesha kamatwa na mchakato wa kumpeleka Mahakamani ndiyo unaanzia police, au hata hili dogo tu halijui pia!?
Matapeli wa viwanja safari hii mmepigwa na kitu kizito, mlizowea kucheza na Mahakama, kuzarau hadi Hukumu za Mahakama mnazichana mbele ya Majaji, safari hii ni tit for tat!!
Hadi ukiona kachukuliwa na police kwa order ya Waziri wa Aridhi, basi ujuwe Jinai tayari ishafanyika, sasa taratibu za haki jinai lazima zifuatwe ili kila mtu apate haki yake anayo stahili!!
Tena wanajifanyaga wako very kind kwa society inayo wazunguka, msome sasa nyuma ya pazia machafu yake utakimbia,lazima uwe na jicho la tatu kuona machafu yao!!
Hivi Majaji wa Rufaa na Mahakama Kuu si wanalipwa vizuri tu ili wasipate vishawishi kwenye kusimamia haki!? Mi nitamshangaa sana mtu wa aina hiyo kama kweli bado anapokea rushwa, inamaana hana kinai, tamaa ni kitu kibaya sana!!
Msamehe bure, castr hawajui vizuri matapeli wa Aridhi, labda kwa sababu hayajamkuta,au kumkuta mtu wake wa karibu, labda angeelewa somo la utapeli wa kugushi nyaraka unavyo wa tajirisha Matapeli!!
Matajiri wengi wa Africa wengi utajiri wao ni wakimagumashi ndiyo maana ukiwataka lazima uwanase, na ukiwachimba kidogo lazima wakwite majina kama vile Dikteta! And sa on!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.