Wakuu poleni na swaumu (kwaresima na mfungo wa ramadhani).
Tangu nikiwa mdogo napata hiyo shida ya kuziba kwa masikio pindi ninapo fanya usafi wa kutoa bugudha ya mafua.
Kwa anaye jua huu uhusiano kwamba unapo penga hizi mucus za pua tufanyeje ili masikio yasilete tabu mana hapa sikio moja...
Hiko kipande cha video hapo juu nimekitoa huko twitter.
Sasa huyu binti akutane na mjumbe wa JF huku ambaye hataki ndoa sijui itakuaje hilo penzi(mahusiano).
Tukae mbali na mafeminist wakuu.
Hiyo picha inajieleza wakuu
Ninatafuta hako kabag original ya hiyo camera ndogo ya canon ixus kama kilivyo mana nimejaribu kuulizia mjini mana niko mkoani watu wa huko wanasema ni model ya zamani kupata original bag ni ngumu.
Kama mwenye nacho pm yangu iko wazi.
NB:Najua kuna mbadala wa hvyo...
Habari za jumapili Wana jf[emoji3590]
Kuna post humu nyingi zikisema vitu vikiimarishwa Kama barabara, madaraja na miundombinu maendeleo ya nchi yatakuwepo
Wengine maisha ni magumu ya watu hivyo maendeleo hayawezi kuwapo Kama watu wanasababisha uhalifu ili wapate pesa.
Swali ni [emoji117]...
Habarini na mihangaiko wakuu
Mimi Kama member wa humu sio mjuzi Sana na mzoefu wa kutumia JF app lakini katika kupitapita siku moja sijui ni category ipi nikakuta wanazungumzia kuhusu kuhusu sumu ya kuwauwa Hawa wanyama aina ya paka 🐈 Mana kwa sumu za panya imeshindkana kabisa
Naomben msaada...
Msaada wakuu kuhusu huu ugonjwa wa Gastroesophageal Reflux Disease (GERD)
Napokea na ushauri pia Mana kwa historia fupi ni kuwa nilienda hospital nikaambiwa nina gastritis nimepitia mtandaoni nikakutana na hiko kitu hapo juu mwenye ujuzi na kunishauri Mana symptoms zake naona kama Corona fulani...
Habarini wakuu..
Kwa anayejua utofauti angalau tano za Ms Publisher na Ms PowerPoint
Msaada jamani kwa sababu hyo Ms Publisher ina kazi nyingi sana hadi za Ms PowerPoint
Ntashukuru ukinisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
habarini wakuu
Jana katika maongezi na jirani yangu wa kike amabaye ni pacha na hajaolewa bado akanambia "kikawaida endapo pacha mmoja akiwahi kuolewa hasa wale wadogo lazima na huyu mkubwa alale na huyo shemeji yake kwa mtindo wa threesome ili huyu mkubwa aridhie hiyo ndoa "
Nakuja kwenu...
kama title inavyosema apo juu wakuu
nimekua nikilisikia hili neno ila sijapata maana yake kamil
neno "karma" wakuu kwa anaye jua maana yake na isitoshe kuna watu wana litumia sana humu
naamin ntapata msaada kwa kina
cc.nyau mwenye bikra
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.