Point ya msingi wapenda soka, tunataka tujue huyu Kibu Denisi kama hakuwa Raia wa nchi hii pendwa, Mbeya city na Taifa Stars alikuwa anacheza kama mchezaji wa kigen!
Na Simba walimsajili kama mchezaji wa ndan au wa kigeni! Na Uhamiaji, Sheria za kupewa Uraia zilizingatiwa na ni kweli ni rahisi...
Kuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.
Naunga mkono hili sababu moja kuu Kaze anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi, kijeruman nk. Hii itawasaidia hata wachezaji wetu wa kibongo kwenye mawasiliano na kuimarisha...
Tetesi, baadhi ya wachezaji 5 muhimu wa Yanga, Mukoko Tonombe, Tuisila Kisinda, Sappong, Yacouba na yule mrundi aliyezingua jana, wapo mbioni kuikacha Yanga kutokana na madai wanayoidai klabu hiyo.
Kwa mahitaji ya accessories za solar kama water pumps, solar heaters, street lights, outdoor lights, garden lights na items zote za solar orijino kutoka ujerumani pamoja na ufundi wasiliana nasi NETEIN GERMANY SOLAR SOLUTION...
Email neteinsolarsolution@hotmail.com...mobile 0754485617...0718916971
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.