kiuhalisia hiyo vazi ndio halina shida sana ila shida inakuja kwenye hizo bolded area kwenye matiti na hiyo hapo chini.kitendo cha hayo maeneo kukozwa kinafanya mtazamaji wa azingatie/aone kirahisi..
ata sijaelewa kitu mara 1M views mara audio mara rayvan na nandy mar ruge, mara kukaa uchi, mara vanessa mdee, wai
inshot ni kutoa maoni/mawazo yako ila umehusisha vitu vingi ata havikua na ulazima...
iv kijana unapata wapi nguvu ya kuongea vituko vya namna hii et zuchu ni queen wetu ππππππ em ni log out kbsa maana hizi ni kauli nlitegemea ntazionaga tu Facebook ππππππππ
ase mimi tiba yangi mi music kuna playlist zangu nikiskiziza ndan ya dk 15 npo fofofo
pia kuna zile za sauti naziokotaga uko YouTube mfn sailut za mvua,magari,upepo sema zile mpka uzi link na feeling zako au moment flan ivo ulizokua kipnd cha mvua au kpnd upo road mida ya usiku yan zinakuaga...
amn kitu masta ,amini ukifnya kazi bila stress na kwa utulivu inakua nzuri zaidi, simaanisha hao wengne awafany kwa utulivu...
ata kwenye mpira angalia timu iliyoko kwenye management nzuri( yenye fweza zake) lazim in perfom vizuri
mfano mwingine angalia tu ata msimu uliopita Simba na Yanga...
umeonaeee... izi ndo zile ww unatarajia kufikia sehemu fulan kumbe mwenzako yeye ndo anaanzia mi naona zuchu
amn kitu maana awa wasanii wanaoanza day one YouTube tayari ipo kwenye trend n kutokana na kuwa na watu wakubwa ,
maana ata tifah kwenye mitandao ni maarufu kuliko nandy ila kiuhalisia...
shukrani mkuu mim nina tazizo sjui kma unaweza kunisaidia namna yoyote ata ushauri,
mimi kuna siku nlipata ofa ya gb za kutosha ilikua gb 50 , nkasema leo ngoja nijribu ku-root simu yangu
basi nkasoma tutorial zote nikafownload na app na rom zote zilizokua zinahitajika
basi nkaanza mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.