Kwenu dawasco. Hivi mlipotoa ratiba za MAJI kugawa kwa maeneo ya Dar. Mlitoa ilimradi kujifurahisha muonekane mnamfanya kazi au?
Mbona hamuifuati hata kidogo. Yaani tangu jumanne hakuna maji mitaa ya Africana na huku ratiba ilisema Alhamis na Jmsi tutapata maji.
Lakini naamka Leo naona bomba...
Sasa hivi ni saa 1 na dkk 15 tangu saa 11 jioni. Barabara imefungwa wanaruhusu wanaotoka mjini tu. Hata kama kupunguza magari. This is not right kabisa. Massaa mawili straight mnatuweka barabarani.?? Matrafiki wa hili eneo either wabadilishwe kama hii sio amri kutoka juu.
POLISI MAKAO MAKUU NI...
Mimi ni kijana 36 years.
Nimeajiriwa.... Somewhere (utajua baadae)
Mkristo
Maji ya kunde
173cm. 82kg. Mtu wa Mara.
Niko Dar.
ANAYEHITAJIKA:
Age 24-29 au hata 30 sio mbaya.
Dini mmh sio ishu Sana maana zote zimekuja na WAKOLONI. Ila kama ni Islam uwe tayari kunitetea kwa wazazi Wako wakiamua...
Ngoja niende moja kwa moja kwenye swali ambalo kidogo linafikirisha. Upi UMRI SAHIHI WA kusema huyu ni mtoto mdogo?
Kisheria mtoto ni miaka 18. Chini ya hapo huyu ni kiumbe ambaye hajui alitendalo so ukilala nae umembaka na utafungwa miaka 30.
Lakini UMRI msichana kuolewa Tanzania ji miaka...
Nina 8 millioni.
Nahitaji Toyota IST
Cc 1290
Namba kuanzia DK na kuendelea
Hali nzuri ya gari...isiwe na mashida shida.
Sihitaji habari za dalali
Majina ya kadi ya gari yafanane na majina ya kitambulisho chako cha nida.
Karibuni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.