Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Natumai mko salama na wazima wa afya. Ombi langu ni kwa yeyote yule mwenye kujua uimara wa hizi kampuni mbili za friji BOSS na Mr UK ipi ipo vizuri katika utendaji?
Nahitaji kununua friji na sina uzoefu nazo kabisa Wakuu msaada tafadhali [emoji120]
Mwanamke naye muhitaji naomba awe na sifa hizi.
1. Umri miaka 22 mpaka 28
2. Mcha Mungu
3. Awe ameajiriwa serikalini / sekta binafsi au mjasiriamali.
4. Kabila lolote
5. Dini yoyote (hapa tutakaa chini tuzungumze)
6. Umbo lolote
7. Asiwe na mtoto
8. Awe serious na mkweli.
9. Awe...
Wakuu nahitaji kusoma certificate ya tour guide kwa mwaka mmoja nipo Arusha.
Naombeni kujua yafuatayo kuhusu hii kozi
Chuo kizuri kwa hapa Arusha
Gharama zake
Soko la ajira likoje
Asanteni.
Wakuu poleni na majukumu, naomba kujuzwa chuo kinacho toa mafunzo ya udereva kizuri cha uhakika na chenye gharama nafuu mkoani Arusha. Asante sana[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.