Hebu ona hii
Tumewekeza kuliko Al Hilal.
Manara kaja na siri ya ushindi wa Simba.
Raha yetu kuwafunga Simba.
Nabi: Mechi za kirafiki za kimataifa kwetu hazina kipaumbele.
Tathmini:
Mwenye akili timamu kati ya hao yupo kweli?
Je, kitaalamu hiyo timu inaendeshwa kwa mfumo rasmi au inaendeshwa...
Dunia imebeba mengi sana na Ukistaajabu ya Musa Hujayaona ya Firauni.
Hii imetokea Kijijini kwetu huku. Baada ya Utambulisho na maridhiano ya pande mbili. Mahari ikatolewa, Mil 2.5 hivi, na mipango ya harusi ikaanza.
Ee bwana ee siku zimesonga, hatimaye siku ya harusi ikawadia, mapema kabisa...
Husika na kichwa cha Habari hapo juu.
Mimi ni Mwalimu wa masomo ya Literature na History, nina uzoefu wa kufundisha masomo hayo kwa miaka miwili hivi. Naomba mwenye connection ya kazi anisaidie.
Pia nina Uzoefu wa kufundisha English Medium schools kwa muda sasa, masomo ya English, Vocational...
Ni baada tu ya CAS kutoa hukumu ya Kesi ya Mwamba mwenye akili kuwazidi Kile kikundi chote, ndipo waliamua kutangaza kuwa wadhamini wenza wa NBC premier league, ukweli ni kwamba walitaka kujifariji tu, sasa faraja imeisha na Machungu yameisha.
Uchungu wa taasisi kushindwa dhidi ya mtu mmoja...
Binafsi huwa siwaelewi bodi ya Ligi wala TFF. Yani timu hizi mbili hasa wale wa ngumi mkononi Ratiba ikipangwa wataambiwa waanze mechi kumi nyumbani ili wapate hela ya kusafiria.
Sasa hiyo ni Ligi au ni Ligi ya timu mbili tu?
Au wengine wacheze saa nane mchana ilihali wengine siyo, pana usawa...
Wasalaaam! Wana JF popote mlipo!
Binafsi naona timu hizi mbili(Yanga na Simba) Wanapendelewa kwenye Ratiba kwani sioni sababu za msingi kuzipa timu zaidi ya wiki kujiandaa eti kisa ni Dabi ya Kariakoo, mwisho upande fulani unajinasibu una timu nzuri kumbe siyo ni ujinga tu, Ipangwe Ratiba iliyo...
Kama walitaka kukutana na timu mbovu wangekomaa wavuke raundi ya awali, Sasa raundi ya mwanzo imekushinda, Unabeza mafanikio ya mwenzio, hii ni ajabu, roho mbaya isiyo na maana, halafu binafsi naona kama wanateseka bure, maana hawa hawashindani na mtu bali timu yao, utasikia Ooh watafungwa, Ooh...
Ni jambo la kusubiri tu,anaejua anajua tu, hata watoe mafungu kuihujumu Simba, Itafika Wakati watakubali kuwa hawajui, na hawatatakana tena kama ilivyotokea kwa wazee wa Vitasa, Twaha Kiduku na Dulla Mbabe. Povu ruksa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.