Habari,
Gari yangu aina ya toyota cami nikiiwasha inawaka bila shida (jino moja) ila ikikaa sekunde 25 inaanza kumis kisha inazima na ikishazima haiwaki mpaka ipite nusu saa msaada shida unaweza kuwa ni nini?
Msaada desktop Hp compaq nikibonyeza batani ya power kinawaka kitaa kimoja kisha kinazima ila nikiipuriza na hot blower kwa dakika 1 au 2 nikiiwasha ina waka ila nitakapoizima tu haitawaka mpaka niipulize tena.
Habari nina iphone 5s nikiweka mtandao wa 4g ama 3g nikipigiwa simu inakuwa busy nakuwa siwezi kupiga wala kupigiwa ila msg natuma ila nikiset mtandao wa 2g simu zinaingia na kutoka kama kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.